Ukikua utaacha....
Thank you very much mrsHongera
Kwenye noah mkuu....Umejaza full tank kwenye baby walker?
Ahsante SANA mkuu.as from today nimeamua ntakuwa najaza full tank tuu.maana nime realize sina sababu ya kutofanya hivyo ukizingatia sijawahi acha kuweka mafuta kwenye gari yangu.sasa .so why fill a litle while at the end of the day will have filled full tank????Hahahahaha lol! Hongera sana Mkuu.
Ahsante SANA mkuu.as from today nimeamua ntakuwa najaza full tank tuu.maana nime realize sina sababu ya kutofanya hivyo ukizingatia sijawahi acha kuweka mafuta kwenye gari yangu.sasa .so why fill a litle while at the end of the day will have filled full tank????
Wakuu kwa Mara ya kwanza ndani ya miaka Sita Leo nimefanikiwa kujaza full tank kwenye noah yangu for only 88.000.IT FEELS SO NICE.TRY IT.Ahsanteni EWURA
Ukikua utaacha....