Wakuu leo nimewachezea akili matapeli wa mitandao ya simu hadi wamejiona mafala, ilikua mida ya saa9 alasiri wakafoadi sms imethibitishwa tsh 198,000 hivyo salio langu likawa 399,000.
Punde wakapiga simu nakujitambulisha ni tigo makao makuu, wakanambia kiasi kilichokuwepo kabla ya kufoad sms yao, pia wakanambia mara ya mwisho kufanya muamala.
Muda huo mimi nawachora tu coz nawajua vizuri, wakanambia nimtumie huyo mteja alokosea nikakubali bt sikutuma, wakapiga tena wakisema wanasubiri muamala la sivyo watafunga line yangu.
Nikawatukana wakanambia unajifanya jeuri tunailock namba yako kuanzia sasa haitatumika kisha wakakata japo hakijatokea chochote kwenye line yangu mpaka sasa.
Sasa nachojiuliza hawa washenzi taariba binafsi za acount zetu wanazipata wapi au niwafanya kazi wa mitandao ya simu ndio wanafanya hii issue ya utapeli?
Punde wakapiga simu nakujitambulisha ni tigo makao makuu, wakanambia kiasi kilichokuwepo kabla ya kufoad sms yao, pia wakanambia mara ya mwisho kufanya muamala.
Muda huo mimi nawachora tu coz nawajua vizuri, wakanambia nimtumie huyo mteja alokosea nikakubali bt sikutuma, wakapiga tena wakisema wanasubiri muamala la sivyo watafunga line yangu.
Nikawatukana wakanambia unajifanya jeuri tunailock namba yako kuanzia sasa haitatumika kisha wakakata japo hakijatokea chochote kwenye line yangu mpaka sasa.
Sasa nachojiuliza hawa washenzi taariba binafsi za acount zetu wanazipata wapi au niwafanya kazi wa mitandao ya simu ndio wanafanya hii issue ya utapeli?