Leo nimetimiza miaka 15 ndani ya JF

Leo nimetimiza miaka 15 ndani ya JF

Namshukuru Mungu aiseee, nimekua hapa kwa miaka 15 sasa, wengi tulioanza nao wametangulia mbele za haki na wengine wamebadli ID. Ni jambo jema sana kwangu. Ni siku pia yenye matukio mengine makubwa ya kibinafsi.

Asanteni kwa Marafiki wapya na connections za kutosha. Long Live JF.

Kama una jambo ungependa kuuliza, karibu.
Hongera Sana, November tafikisha miaka 12 JF
 
Namshukuru Mungu aiseee, nimekua hapa kwa miaka 15 sasa, wengi tulioanza nao wametangulia mbele za haki na wengine wamebadli ID. Ni jambo jema sana kwangu. Ni siku pia yenye matukio mengine makubwa ya kibinafsi.

Asanteni kwa Marafiki wapya na connections za kutosha. Long Live JF.

Kama una jambo ungependa kuuliza, karibu.
Hongera sana Mkuu. Miaka 15 si haba.
Nitakufikia karibuni. Idumu JF
 
Namshukuru Mungu aiseee, nimekua hapa kwa miaka 15 sasa, wengi tulioanza nao wametangulia mbele za haki na wengine wamebadli ID. Ni jambo jema sana kwangu. Ni siku pia yenye matukio mengine makubwa ya kibinafsi.

Asanteni kwa Marafiki wapya na connections za kutosha. Long Live JF.

Kama una jambo ungependa kuuliza, karibu.
Hongera mkongwe. Sisi matineja bado tunapambana tufikishe japo mitano.... afu ndo tubadili ID
 
Namshukuru Mungu aiseee, nimekua hapa kwa miaka 15 sasa, wengi tulioanza nao wametangulia mbele za haki na wengine wamebadli ID. Ni jambo jema sana kwangu. Ni siku pia yenye matukio mengine makubwa ya kibinafsi.

Asanteni kwa Marafiki wapya na connections za kutosha. Long Live JF.

Kama una jambo ungependa kuuliza, karibu.

Kongole Mhenga mwenzangu
 
Walikuepo akina Mtambuzi Malaria Sugu huyu alikua mkorofi sana (CCM) na jeuri nadhani alipigwa network ban, zumbemkuu MANI Regia Mtema (R.I.P) Mohamedi Mtoi (R.I.P) na wengine wengi. Tulikua kama ndugu. Members wengi hapo tulifahamiana baadae, Mpwa Mentor alivuma na shairi lake la Inside Verossa kiasi kwamba lilipostiwa kwenye platforms nyingine nyingi.

Topics zilikua very hot, 🔥 hakukua na utoto sana ukilinganisha na sasa. Miaka ile JF ilionekana ya watu Fulani ambao upstairs walikua "vizuri". JF ilikua kama think tank ya TAIFA.

Machache kwa sasa
Naomba kuongeza machachari
Nyani Ngabu
Yoyo, noname, brother men, womaniser, Pundit, De jave, Nyamayao, Rev. Masanilo,
Mzee Mwanakijiji, WOS, Teamo, hao kwa uchache.

Hongera mpwa
 
Nimebadili ID mara sita sasa ila ningekuwa mkongwe sana ikiwa ningebaki na ID ya mwanzo .

Nimezikumbuka zile nyakati ambazo kukomenti hapa jamvini ilikuwa ni lazima utafakari ni nini unataka kuandika ,je una uhakika?

Kipindi ambacho usingeweza kumbeza yeyote kwa mchango wake ,kipindi ambacho kujibizana kwa hoja na wale walioko kwenye mfumo wa serikali ilikuwa ni kawaida sana.

Kipindi ambacho haka kamtandao kaliitwa Jamboforum hakika hapa palifana sana

All in all ya kale ni dhahabu , but hongera sana ndugu Elli

Hakika kilikuwa kipindi kizuri sana, na kuitana mkuu mostly ilianzia JF ikasambaa mtaani baadae, kilikuwa kipindi ambacho kuchangia mada mara nyingi post ilianza na "Heshima mbele wakuu" , maneno kama kumkoma nyani giladi....

Them days
 
Back
Top Bottom