Leo nimetembelea Addis Ababa

falcon mombasa kuja huku sikia hii...
 
Last edited by a moderator:
Nilikuwa na mpango wa kutembelea Botswana kwa hali hii siendi tena😱 Watoto warembo hivi!!! Huko chini si patakuwa laini kama ngisi.
 

Attachments

  • 1435649541799.jpg
    30.4 KB · Views: 1,294

....Mkuu hata mimi najipanga kurudi hata kwa wiki moja tu
 
Wangekuwa Wabongo tungekoma kwenye mitandao ya kijamii!! Midemu ya Kibongo mifuuuupi kama pimbili,ukikuta mrefu basi matiti utadhania ananyonyesha misukule kutwa Facebook mara ooh like picha yangu kama umeipenda!! Pyuuuuuuuuuuu.
 

Mkuu nisubiri huko huko,wanaanzia shilingi ngapi? Mkuu sitanii mwenzio hayo mambo ndo pombe yangu kwani situmii tungi lolote isipokuwa. Nipitie wapi shortcut hadi Adi's Ababa?
 

Kma utaamua kwenda basi twende wte sabb nami nataka kwenda kutalii nauli ninayo kwenye akiba zangu🙁:thumbup:
 
Chini ya mkoloni mweusi ccm kamwe tusitegemee maendeleo!Tanzania kila mtu mpaka rais ni mlalamikaji.Ethiopia wanasonga mbele pia wao hakuna watu kukimbilia mjini
 
Hapa afrikast wakumwaga,mashombeshombe tuu,sijui Mungu kawaumbaje,wazungu si wazungu,waarabu si waarabu,waafrika si waafrika,halafu hawana matiti makubwa kama dada zetu wa tz.

Uko sahihi
Nishawahi pita huko japo ckupata wasaa wa kutembea kivile, bt I adimit hao wadada WA huko ni habari nyingine!

Kiukweli ni warembo.
 
Mkuu nisubiri huko huko,wanaanzia shilingi ngapi? Mkuu sitanii mwenzio hayo mambo ndo pombe yangu kwani situmii tungi lolote isipokuwa. Nipitie wapi shortcut hadi Adi's Ababa?

....poti Mkuu unatisha !!!
 
Mkuu labda uniambie upo maeneo gani ya Addis, maana huo mji ni shida sana. Safari moja nilifika usiku nikapelekwa kwenye five star hotel, palikua maridadi sana, nikasifia sana huo mji. Asubuhi nilipoamka, mbona yale niliyokua nayasema jana yote niliyafuta. Maana City centre ukichungulia chini unakutana na vibanda vya mbavu za mbwa. Yaani hicho kitu kilinistaajabisha sana. Wewe tembea tembea tu huko mitaani utakuja na majibu hapa
 

siweiz kuitetea addis ababa kwa sababu sio nchi yangu lakini penye ukweli ni lazima tuwasifie,labda nikuulize we ulikuja mwaka gani? manake unayoyasema na niliyoyakuta ni tofauti
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…