Leo nimetembelea Addis Ababa


jipange tu mkuu hapa sio mbali
 
Ushaleta balaa humu ndani........unasababisha dada zangu wa Rombo watorokwe........msafara uelekee Addis.........una nini lakini..........?......

hehehehe hata mi nimekuja kikazi huku,natumia chance effective,waambie masela waje
 
Gharama na taratibu za kufika huko zikoje ili tukapazuru????


Naomba unipatie full information za visa, nauli, hotels na yote yanayohusiana na safari ili nijipange ikiwezekana nitie timu mwezi ujao.

Thanks
 

Watu wanazungumzia Addis we unaleta habari za Kenya! We vipi?
 
Gharama na taratibu za kufika huko zikoje ili tukapazuru????


Naomba unipatie full information za visa, nauli, hotels na yote yanayohusiana na safari ili nijipange ikiwezekana nitie timu mwezi ujao.

Thanks

duuuh mkuu umekuja kwa KISHINDO sana,mi nimefkia kwa baby,gharama kubwa labda za nauli tu,hizo zingine rahisi
 
Last edited by a moderator:
Ni kweli mimi pia nipo Addis Ababa, tayari jiji hili sasa wanaolingalia kwa umakini wanasema litakuwa ni New China ktk Afrika. naomba uangalie pia na mentality za watu wa hapa wapo na displine ya kazi, serikali yao inategemea makusanyo ya kodi na mapato kutoka airline yao . wamedhibiti dola huwezi kutumia dola ki holela, unaichange bank tu. pesa yao, birr ipo na thamani nzuri , exchange yao kwa dola ni nzuri dola moja kwa 22.5 Birr .
 
Kesho kituo cha kwanza faidika wakizingua narukia platnum,nikiona longonlongo najilipua bayport na nikizikamata tuu kituo cha kwanza Addis ababa liwalo na liwe sasa.
 

nikuulize mbona hapa makahaba ni mob kias hichi
 
Kesho kituo cha kwanza faidika wakizingua narukia platnum,nikiona longonlongo najilipua bayport na nikizikamata tuu kituo cha kwanza Addis ababa liwalo na liwe sasa.

mkuu kwani hata hapo mlimani city si kuna mademu pia?
 
Mkuu usisahau kuangalia na fursa za kibiashara, biashara gani mtu unaweza toa bongo kuleta huko kwa wenye mitaji isiyo mikubwa sana, sio unashangaa madem tu
 

Majitu ya vijijini utayajua tu.

Nenda pale manzese. Hata wabongo wana Maendeleo vilevile.
Kukulia vijijini wakati mwingine ni shida sana.
Chunga tu usije uzwa kwa bei ya simu.
 

hapo patamu, fanya mpango ndugu... wadogo zake sasa teh teh teh
 
hhhhmm... huko sio pakwenda huko, huko ndio utakapoona sheria ya wake wanne inafaa.. hahaa
 
Uchumi wa nchi huko vizuri ila mbona waethiopia wanakimbia nchi hiyo
 

Nimecheka Sana hiki ulichoandika hapa yaani Umemkumbuka mmisionari wako baada yakuona hizo Picha dash Nway kila la heri
 
Mkuu@falcon mombasa Mihuwa nakukubali pressentesion yako mi ntakutafuta chemba Kwenye mambo yetu kuna mahali tulipoteana Lkn napenda kujua kwa wataalam labda wauchumi nk Kwamba kwanini Ethiopia inasifika kwa maendeleo lkn wananchi ni masikini wakutupwa! Hii kitu huwa siielewi kabisa
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…