Keynez
JF-Expert Member
- Feb 12, 2007
- 3,656
- 6,626
- Thread starter
- #41
Umeandika mengi sana aisee,
Ila nilichoshangaa kwenye title unaandika Pepo limeingia leo wakati Huyo dada Uasherati kaanza kitambo tu. Sasa sijaelewa hao waliokua wakimpitia hapo awali halikua Pepo??
Kwa mtizamo wangu pepo lilimuingia yule fundi, ndiyo maana ya title.