Leo nimepatikana?

Leo nimepatikana?

Same ORG

JF-Expert Member
Joined
Jun 10, 2012
Posts
321
Reaction score
21
Nina mke huwa ninasafiri kwenda nje, mara nyingi huwa mke wangu hana kawaida ya kuangalia ile begi yangu ambayo huwa nasafiri nayo lkn leo kaichek kaona paket 2 za condom nifanyeje wadau, nisaidieni utetezi hapo
 
Kwani hizo condom ziliingia kwa bahati mbaya kwenye begi lako??
Kama ni wewe uliziweka, hakika jibu unalo wewe mwenyewe.
Sisi tunasubiri thread ya "Nimeachana na mke wangu baada ya kukuta condom kwenye begi".
 
Mwambie kwenye semina uliyokuwa umeenda mlipewa mafunzo ya ukimwi, so baada ya mafunzo wa kawa wanagawa hizo kondom, ndo na wewe ukazichukua kama washiriki wenzako walivyofanya. Ila kama zote zipo ful hujazitumia. Pole sana
 
mwambie umeziweka mwenyewe
afu mkumbushe takwimu za UKIMWI kwa wenye ndoa
 
Huko unako safiri hakuna condom mpaka ununue unapo ishi?
 
anakoenda hawaongei kiswahili wala kingereza.

Kununua ndom hadi atoe dudu nje, afu dudu yake imejipinda kama kitasa.

Huko unako safiri hakuna condom mpaka ununue unapo ishi?
 
Kwani amekugombeza ama amekuulizia kuhusiana na hizo condoms,lkn hata hivo na wewe condom za nini wakati wa safari ilihali wewe ni mume wa mtu na bahati mbaya zimepungua zimebaki mbili huna ujanja leo lazima ujipange sana la sivo hakulaliki
 
Mwambie kwenye semina uliyokuwa umeenda mlipewa mafunzo ya ukimwi, so baada ya mafunzo wa kawa wanagawa hizo kondom, ndo na wewe ukazichukua kama washiriki wenzako walivyofanya. Ila kama zote zipo ful hujazitumia. Pole sana

we ni mzoefu??????!
 
well said....mtu na akili zako timamu, condom za nn kwenye begi kama si kujikinga na udhaifu wako?
kuwa mkweli...vishawishi ni vingi nowadays...
talk to her slowly!!
 
Mwende kwa Paroko au mchungaji,ukatubu dhambi zako zote!
 
Nina mke huwa ninasafiri kwenda nje, mara nyingi huwa mke wangu hana kawaida ya kuangalia ile begi yangu ambayo huwa nasafiri nayo lkn leo kaichek kaona paket 2 za condom nifanyeje wadau, nisaidieni utetezi hapo

waume za watu tulieni kwenye ndoa mnawapa stress wake zenu.
 
huko nje huwa unafata bidhaa kama zipi? kama ni kondom shehena zima lilikuwa na pakati mbili tu? au huko nje kuna nyumba ndogo? tulia kwa mke wako au uliambiwa mkeo hutomkuta nyumbani ukaja umEjiandaa kusaka ma-CD ukweli unao mwenyewe usituchoshe sie..ebo!:A S angry:
 
anakoenda hawaongei kiswahili wala kingereza.

Kununua ndom hadi atoe dudu nje, afu dudu yake imejipinda kama kitasa.
Khaaah!!!!una nini wewe bidada?!nimepaliwa hapa itabidi unitafutie dawa....hahaaaaaaaAaaas
 
Back
Top Bottom