Leo nimeona mwanajeshi mwenye ndevu Tanzania

Teko Modise

JF-Expert Member
May 20, 2017
1,914
6,033
Mnasemaga wanajeshi wa Tanzanaia hawaruhusiwi kufuga ndevu? Wait…

Leo katika maadhimisho ya miaka 60 ya mapinduzi matukufu ya Zanzibar nimemuona mwanajeshi ana ndevu. Kitaalam imekaaje
IMG_9323.png
 
Back
Top Bottom