Leo nimemfumania live bila chenga

Habari wana MMU,

Nina mpenzi wangu ambaye tuna muda kidogo. Hapa kati niligundua anachepuka baada ya kuona msg kwenye simu yake,nilipomuuliza akakataa katakata na ugomvi juu nkajishusha yakaisha but moyoni mwangu nlikua namchunguza kimya kimya.



Kwa kawaida huwa tunapitiana asbh kwenda kazini kwan ofisi zetu zipo karibu, basi Leo nimeenda kama kawa nikagonga but hakufungua ila nilisikia movement ndani ameamka akawasha gesi na kubandika Maji ya kuoga basi nikajua atafungua mlango, nikaona kimya ila machale yakanicheza nikapanga kukaa nje mpaka nione mwisho, simu zangu nikaweka silent baada ya dk 40 hivi nikasikia sauti ya mwanamke ndani kumbe ndo alikua anamwandalia maji.

Ile kufungua mlango akakutana na macho yangu makavu nikamsalimia nikaingia chumbani nikamsalimia binti nikarudi kukaa sebuleni, bidada akanikaribisha kwa adabu zote nikamwambia apumzike tu asijali, kaka katoka kuoga anajishaua kuniuliza eti kwanini sijaenda kazini nimesimama tu nje m sikumjibu ktu akaingia rum kuvaa mi nimekaa tu sebuleni.

Sikutaka ugomvi kiukweli coz najijua hasira zangu ningechoma mtu kisu bure, basi bidada akavaa nguo huyo akaondoka na akaniaga eti Dada bye nikamwambia ok karibu tena! Alipoondoka nikamuuliza is it me or her akakosa jibu, nikaondoka zangu!

Now msg kibao za maelezo mimi sijajibu hata moja, hivi wanaume kwanini hamtosheki jamani? Bora nibaki single tu kuliko kuleteana magonjwa


samahani, nimesoma mara mbili ila sijaelewa. nilitegemea na wenzangu wacomment the same ila naona kama wameelewa. kiukweli sijapata picha halisi. aliyefumania ni ke au me? bidada ni nani? kifupi sijaelewa.


uliyeelewa unisamehe pia. kama unaweza nieleweshe.
 
Sasa dada umefika wakati wa kufanya,maamuzi ya busara.Wakuichagua tigo pesa,ina lipaaaaa.
 
Habari wana MMU,

Nina mpenzi wangu ambaye tuna muda kidogo. Hapa kati niligundua anachepuka baada ya kuona msg kwenye simu yake,nilipomuuliza akakataa katakata na ugomvi juu nkajishusha yakaisha but moyoni mwangu nlikua namchunguza kimya kimya.

Kwa kawaida huwa tunapitiana asbh kwenda kazini kwan ofisi zetu zipo karibu, basi Leo nimeenda kama kawa nikagonga but hakufungua ila nilisikia movement ndani ameamka akawasha gesi na kubandika Maji ya kuoga basi nikajua atafungua mlango, nikaona kimya ila machale yakanicheza nikapanga kukaa nje mpaka nione mwisho, simu zangu nikaweka silent baada ya dk 40 hivi nikasikia sauti ya mwanamke ndani kumbe ndo alikua anamwandalia maji.

Ile kufungua mlango akakutana na macho yangu makavu nikamsalimia nikaingia chumbani nikamsalimia binti nikarudi kukaa sebuleni, bidada akanikaribisha kwa adabu zote nikamwambia apumzike tu asijali, kaka katoka kuoga anajishaua kuniuliza eti kwanini sijaenda kazini nimesimama tu nje m sikumjibu ktu akaingia rum kuvaa mi nimekaa tu sebuleni.

Sikutaka ugomvi kiukweli coz najijua hasira zangu ningechoma mtu kisu bure, basi bidada akavaa nguo huyo akaondoka na akaniaga eti Dada bye nikamwambia ok karibu tena! Alipoondoka nikamuuliza is it me or her akakosa jibu, nikaondoka zangu!

Now msg kibao za maelezo mimi sijajibu hata moja, hivi wanaume kwanini hamtosheki jamani? Bora nibaki single tu kuliko kuleteana magonjwa

pole sana aisee...ninavyosugua goti kuzitafuta nafasi kama hizi za wadada commited...dah kweli kuna watu hawajui.kupendwa.
 
Habari wana MMU,

Nina mpenzi wangu ambaye tuna muda kidogo. Hapa kati niligundua anachepuka baada ya kuona msg kwenye simu yake,nilipomuuliza akakataa katakata na ugomvi juu nkajishusha yakaisha but moyoni mwangu nlikua namchunguza kimya kimya.

Kwa kawaida huwa tunapitiana asbh kwenda kazini kwan ofisi zetu zipo karibu, basi Leo nimeenda kama kawa nikagonga but hakufungua ila nilisikia movement ndani ameamka akawasha gesi na kubandika Maji ya kuoga basi nikajua atafungua mlango, nikaona kimya ila machale yakanicheza nikapanga kukaa nje mpaka nione mwisho, simu zangu nikaweka silent baada ya dk 40 hivi nikasikia sauti ya mwanamke ndani kumbe ndo alikua anamwandalia maji.

Ile kufungua mlango akakutana na macho yangu makavu nikamsalimia nikaingia chumbani nikamsalimia binti nikarudi kukaa sebuleni, bidada akanikaribisha kwa adabu zote nikamwambia apumzike tu asijali, kaka katoka kuoga anajishaua kuniuliza eti kwanini sijaenda kazini nimesimama tu nje m sikumjibu ktu akaingia rum kuvaa mi nimekaa tu sebuleni.

Sikutaka ugomvi kiukweli coz najijua hasira zangu ningechoma mtu kisu bure, basi bidada akavaa nguo huyo akaondoka na akaniaga eti Dada bye nikamwambia ok karibu tena! Alipoondoka nikamuuliza is it me or her akakosa jibu, nikaondoka zangu!

Now msg kibao za maelezo mimi sijajibu hata moja, hivi wanaume kwanini hamtosheki jamani? Bora nibaki single tu kuliko kuleteana magonjwa

Story ya kutunga hiyo
 
samahani, nimesoma mara mbili ila sijaelewa. nilitegemea na wenzangu wacomment the same ila naona kama wameelewa. kiukweli sijapata picha halisi. aliyefumania ni ke au me? bidada ni nani? kifupi sijaelewa.


uliyeelewa unisamehe pia. kama unaweza nieleweshe.
Mimi ni ke nmemfumania me, bidada ni kabinti nilikokakuta ndani kwa me
 
Mwanaume kulala na mwanamke mwingine haimaanishi hakupendi.mchunguze kama wewe ndo wa moyoni mwake msamehe muendelee na maisha.kukosea kupo
 
Hapa sasa wote wawili wanazidi kuwa wabobezi wa mmu.

Kila tasnia ina mambo yake wadau wake lazima wakajue!
 
hapo nakushauri we fata mambo yako, anza kumtoa akilini na hata kama akiwa anakuja na vijizawadi we mwambie uhitaji zawadi utanunua vya kwako mwenyewe..... cha kuzingatia usiweke ugomvi wala matusi wala kufoka, simama kivyako, kazini usimpitie tena , simu sitisha kumtafuta maana hapo hamna la ziada kama kalala na mtu hadi asbh then nini tena unasubiri ukione zaidi ya hicho.. ongeza bidii kazini kwa kuwa una kazi yako very nice humtegemei kiuchumi...pole sana ila usilegee na kuathirika na hilo we still have a lot to do ktk lyfe, jipange kwa ajili ya familia yako ambayo Mungu atakupatia tu.
 
hapo nakushauri we fata mambo yako, anza kumtoa akilini na hata kama akiwa anakuja na vijizawadi we mwambie uhitaji zawadi utanunua vya kwako mwenyewe..... cha kuzingatia usiweke ugomvi wala matusi wala kufoka, simama kivyako, kazini usimpitie tena , simu sitisha kumtafuta maana hapo hamna la ziada kama kalala na mtu hadi asbh then nini tena unasubiri ukione zaidi ya hicho.. ongeza bidii kazini kwa kuwa una kazi yako very nice humtegemei kiuchumi...pole sana ila usilegee na kuathirika na hilo we still have a lot to do ktk lyfe, jipange kwa ajili ya familia yako ambayo Mungu atakupatia tu.
asante kwa ushauri bro
 
Habari wana MMU,

Nina mpenzi wangu ambaye tuna muda kidogo. Hapa kati niligundua anachepuka baada ya kuona msg kwenye simu yake,nilipomuuliza akakataa katakata na ugomvi juu nkajishusha yakaisha but moyoni mwangu nlikua namchunguza kimya kimya.

Kwa kawaida huwa tunapitiana asbh kwenda kazini kwan ofisi zetu zipo karibu, basi Leo nimeenda kama kawa nikagonga but hakufungua ila nilisikia movement ndani ameamka akawasha gesi na kubandika Maji ya kuoga basi nikajua atafungua mlango, nikaona kimya ila machale yakanicheza nikapanga kukaa nje mpaka nione mwisho, simu zangu nikaweka silent baada ya dk 40 hivi nikasikia sauti ya mwanamke ndani kumbe ndo alikua anamwandalia maji.

Ile kufungua mlango akakutana na macho yangu makavu nikamsalimia nikaingia chumbani nikamsalimia binti nikarudi kukaa sebuleni, bidada akanikaribisha kwa adabu zote nikamwambia apumzike tu asijali, kaka katoka kuoga anajishaua kuniuliza eti kwanini sijaenda kazini nimesimama tu nje m sikumjibu ktu akaingia rum kuvaa mi nimekaa tu sebuleni.

Sikutaka ugomvi kiukweli coz najijua hasira zangu ningechoma mtu kisu bure, basi bidada akavaa nguo huyo akaondoka na akaniaga eti Dada bye nikamwambia ok karibu tena! Alipoondoka nikamuuliza is it me or her akakosa jibu, nikaondoka zangu!

Now msg kibao za maelezo mimi sijajibu hata moja, hivi wanaume kwanini hamtosheki jamani? Bora nibaki single tu kuliko kuleteana magonjwa

we ni hatari aisee..
 
kama haumpatii anachotaka lazima atafute kwingine. any way dunia ya sasa si ya kumwamini mtu kwa asilimia 100.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom