ruby garnet
JF-Expert Member
- Apr 10, 2017
- 2,922
- 3,913
Naaaam, bibie mimi nipo kwa ajili ya kuhakikisha finacialy haupati tabu hata kidogo[emoji3][emoji3]Oh yeaah[emoji39][emoji39][emoji847]
Naaaam, bibie mimi nipo kwa ajili ya kuhakikisha finacialy haupati tabu hata kidogo[emoji3][emoji3]Oh yeaah[emoji39][emoji39][emoji847]
Jomoniii yaani najiona malkiaa😂😂😂kesho nikafanye shopping wapi etii...???Naaaam, bibie mimi nipo kwa ajili ya kuhakikisha finacialy haupati tabu hata kidogo[emoji3][emoji3]
Hahahah. Chagua pale roho inapenda bibieJomoniii yaani najiona malkiaa[emoji23][emoji23][emoji23]kesho nikafanye shopping wapi etii...???
Unazidi kunivuruga huku ujuee...Hahahah. Chagua pale roho inapenda bibie
Wala usiwe na shaka, kile moyo wako unapenda utapata, ondoa wasiwasi kabisa.[emoji39][emoji39][emoji39]Unazidi kunivuruga huku ujuee...
Mwanaume hana kipochi manyoya banahhh na imeandikwa mwanaume atafute kwa shida sasa unatakaje mwanaume mwenzako akupe hela ya bure bure bila kuipata kwa uchunguAise mambo ya ajabu kabisa...lakini angekua mwanaume mwenzio ungempiga kalenda nyingi na kumuambia mambo magumu na wakat uwezo wa kumsaidia upo, sasa nakuambia kua hatakurudishia hio hela piga ua na kukurudishia kwake itakua kukupa papuchi kwa usiku mmoja tu baada ya hapo hesabu maumivu
Sasa mchizi kumpa kwani ni lazima?wakati wanaume tumeambiwa tutatafuta kwa shidaYani wanaume tumekuwa walegevu kiasi hiki hapo angekuwa mchizi ungempa kweli mzee baba
Nimeshawahi kumdhamini mtu 80,000 hadi leo sijapata sijui wewe na hiyo laki tano yako..
Mimi ni Adam na wewe ni Eva kwanini tunyimane lakini Atoto weweeeeeNothing.
Dahalafu utasema hujawahi kubeti kwenye maisha yako [emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji1745][emoji1745][emoji1745]Mimi ni Adam na wewe ni Eva kwanini tunyimane lakini Atoto weweeeee