Umeliwa tayari, Wanaume tunatofautiana sanaWazee wenzangu haya mambo bwana hayaitaji elimu kwa kweli ni yapo Naturally tu, kwa maana ya kwamba elimu kila siku humu inatolewa tusigawe pesa kwa wanawake ambao si wake zetu lakini mimi nimepuuza[emoji3][emoji3][emoji3].
....
Ni Hivi, uyu msichana nafanya nae kazi na tumekutana hapo wote wageni. Lakini ndani ya muda mfupi sanaa tumetokea kuivana yanii best best rafiki wa ukweli kiasi kwamba siku aliyoniambia hivyo ikabidi na mimi nitafutee gia namba moja ya kuanzishia mwendo wa mapenzi hapo hapo.
....
Ni mzurii kwa kwelii na mimi nimemuelewa lakini hadi leo hajatoa msimamo wa moja kwa moja kama anakuja lakini sign anazionesha kuwa nae kazimika (N:B hawatabiriki)
...
Sasa juzi kaja na habari kuwa kwao kuna mtu ni mgonjwa sanaa na amejarbu procedure zote za kusaidia lakini ameFail kwenye pesa, basi kidume apo nkajua tu kuwa mimi ndio naombwa izo pesa maana nilimuambia sasa si ukope kwa best yako akasema hawezi kukopa kwa watu wa pale kazini zaidi ya mimi sasabu hawajazoea kama alivyonizoea mimi
....
Wazee nimemtumiaa lakini najiuliza kama hata kuna chochote ntaonja, au ananipima kweli ubest wetu, au atanirudishia, au ndio rafiki kusaidiana katika shida na raha
...
Usiseme ushamba wa papuchi kama vile wewe ni mgeni sana na wanawake dont underestimated the power of papuchi......mwanaume rijali atanielewa kauli yanguUshamba wa papuchi ni mbaya sanaa..
Uku upo teh tehKwahiyo wa kusaidiwa ni mwanaume tu? Kwani mwanamke ndo hawezi kuwa na hizo shida?
Sasa ashaonyesha tamaa ya kimapenzi atarudishiwa vipi???? Hapo malipo na makuu tu mamaee... hakuna jipyaaHajasema kanunuaa papuchi kamkopa mzee ila probability ya kurudishiwa ndiyo swali alilokuja nalo mdau
Mchizi Aje Na Sababu Maalum Mzee Anapewa, Tatizo La Wanaume Wenzangu Anakuja Anakulilia Shida Kumbe Kwa Sababu Keshaliliwa Shida Na Mwanamke Huko
sina mshahara mkuu, nimejiajiriBoss 10M ni asilimia ngapi ya mshahara wako? Kuna watu mnamijihela humu[emoji848]
na hilo ni janga kwa kweli, elimu ya aina fulani inatakiwa hasa kujitambuaNdo uone akili za baadhi ya wanaume zilivyo sasa
Kabisana hilo ni janga kwa kweli, elimu ya aina fulani inatakiwa hasa kujitambua
So hata baba hawez kusaidiwa na mtoto wake wa kiume sababu ni mwanaume mwenzieMwanaume hana kipochi manyoya banahhh na imeandikwa mwanaume atafute kwa shida sasa unatakaje mwanaume mwenzako akupe hela ya bure bure bila kuipata kwa uchungu
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] mzee baba pambania kombe baba lkn mkishaingia kwny mapenzi hio hela isahau tu..Wazee wenzangu haya mambo bwana hayaitaji elimu kwa kweli ni yapo Naturally tu, kwa maana ya kwamba elimu kila siku humu inatolewa tusigawe pesa kwa wanawake ambao si wake zetu lakini mimi nimepuuza[emoji3][emoji3][emoji3].
....
Ni Hivi, uyu msichana nafanya nae kazi na tumekutana hapo wote wageni. Lakini ndani ya muda mfupi sanaa tumetokea kuivana yanii best best rafiki wa ukweli kiasi kwamba siku aliyoniambia hivyo ikabidi na mimi nitafutee gia namba moja ya kuanzishia mwendo wa mapenzi hapo hapo.
....
Ni mzurii kwa kwelii na mimi nimemuelewa lakini hadi leo hajatoa msimamo wa moja kwa moja kama anakuja lakini sign anazionesha kuwa nae kazimika (N:B hawatabiriki)
...
Sasa juzi kaja na habari kuwa kwao kuna mtu ni mgonjwa sanaa na amejarbu procedure zote za kusaidia lakini ameFail kwenye pesa, basi kidume apo nkajua tu kuwa mimi ndio naombwa izo pesa maana nilimuambia sasa si ukope kwa best yako akasema hawezi kukopa kwa watu wa pale kazini zaidi ya mimi sasabu hawajazoea kama alivyonizoea mimi
....
Wazee nimemtumiaa lakini najiuliza kama hata kuna chochote ntaonja, au ananipima kweli ubest wetu, au atanirudishia, au ndio rafiki kusaidiana katika shida na raha
...