Huyo mtu ni mwana CCM kabisa na mzee wa siku nyingi tukiwa kwenye gari kuelekea kazini, nikawa nimenunua gazeti yeye akaniuliza kuna habari gani mpya , ni kamwambia habari ya mlipuko wa Arusha na matokeo ya udiwani Chaguzi ndogo ,
Jibu lake lilikuwa hivi: Mimi nilifikiri kuna kitu cha maana, akaendelea kusema hivi CCM inatupeleka kubaya taifa linahangamia sasa, hicho chama sikipendi sasa kimeanza kuniudhi
Mimi nikashangaa kuona mzee ambaye namfahamu ki kada marufu wa chama hicho anatamuka maneno hayo ni kavutiwa zaidi ni kamuuliza swali jingine tena, Swali lilikuwa hivi : Mzee kwa nini ukipendi wakati wewe unajulikana ni mwanachama na umewahi kuwa kiongozi katika chama hicho ?
Jibu: Ngoja nikuambie kijana huu mchezo unaofanywa na ccm sio mzuri kabisa unaharibu sifa ya chama chetu na suala lingine ni kwamba, mimi nipo hapa dar es salaam unaposikia ccm wamevamia watu na kuwapiga kwenye chaguzi , huwezi jua pengine huyo aliyepigwa na kujeruhiwa akawa ndugu yangu, kwa sababu sio lazima mimi nikiwa mwana ccm na ndugu zangu wote wawe ccm, huo mchezo wanaofanya ni mbya, wameacha kushughulikia mambo ya msingi yanayokipasua chama wanashughulika na vitu vya kipuuzi tu, kwa mfano pale tanga kuna mpasuko mkubwa sana wachama
Sikuendelea kumuuliza tena suali, lakini nikatafakari sana kuwa kumbe sio kila mwanaCCM ana akili mbovu wapo watu huko wenye mtazamo mzuri na mapenzi mazuri na taifa hili
Nawasilisha
Jibu lake lilikuwa hivi: Mimi nilifikiri kuna kitu cha maana, akaendelea kusema hivi CCM inatupeleka kubaya taifa linahangamia sasa, hicho chama sikipendi sasa kimeanza kuniudhi
Mimi nikashangaa kuona mzee ambaye namfahamu ki kada marufu wa chama hicho anatamuka maneno hayo ni kavutiwa zaidi ni kamuuliza swali jingine tena, Swali lilikuwa hivi : Mzee kwa nini ukipendi wakati wewe unajulikana ni mwanachama na umewahi kuwa kiongozi katika chama hicho ?
Jibu: Ngoja nikuambie kijana huu mchezo unaofanywa na ccm sio mzuri kabisa unaharibu sifa ya chama chetu na suala lingine ni kwamba, mimi nipo hapa dar es salaam unaposikia ccm wamevamia watu na kuwapiga kwenye chaguzi , huwezi jua pengine huyo aliyepigwa na kujeruhiwa akawa ndugu yangu, kwa sababu sio lazima mimi nikiwa mwana ccm na ndugu zangu wote wawe ccm, huo mchezo wanaofanya ni mbya, wameacha kushughulikia mambo ya msingi yanayokipasua chama wanashughulika na vitu vya kipuuzi tu, kwa mfano pale tanga kuna mpasuko mkubwa sana wachama
Sikuendelea kumuuliza tena suali, lakini nikatafakari sana kuwa kumbe sio kila mwanaCCM ana akili mbovu wapo watu huko wenye mtazamo mzuri na mapenzi mazuri na taifa hili
Nawasilisha