Nahman
JF-Expert Member
- Oct 4, 2023
- 522
- 1,521
Leo nahmn nmeikumbuka zamani,
Nimeyakumbuka maisha ya zamani,
Japo naonekana mshamba mbele ya kadamnasi ila nmeitamani zamani.
Nimetamani kuyaishi maisha yale
Zamani akina mama walivaa nguo ya ndani-suruali-gagulo-kisha sketi au gauni
Zamani wanawake walisimama kisha kupiga magoti wakiongea na wanaume!
Zamani bikira zilikua ni lazima kwa mwanamke (leo ukiongelea bikira unaonekana unawaonea)
Zamani vijana walisikiliza sana wazee wao pindi waongeapo!
Zamani kutembeleana lilikua ni swala la muhimu kwa wote
Zamani mboga majani na nyama zilikua tamu kuzidi kawaida
Zamani akina dada walisafisha nyumba na kulima vinyungu kuliko kawaida!
Zamani tulivuna mahindi kisha kuyaweka kwenye kihenge..,hatukuhitaji madawa kuyafanya yaishi
Zamani grocery na vilabuni waliuza akina mama
Zamani bar walikuepo wazee na wababa watu wazima
Zamani sigara zilitumiwa na wazee
Zamani bangi ilivutwa kwa kificho
Zamani ukahaba ulifanywa kwa siri sana
Zamani tuliandikiana barua na kuviziana chini ya mto au kando ya kisima cha maji.
Zamani ukipanda gari hutamani kushuka hata
Zamani taraka zilitolewa kwa aibu
Zamani wanaume walieapenda wake zao
Na wanawake walitii!
Zamani
Zamani zamani……….
Leta yako moja ulioikumbuka toka zamani..
Nimeyakumbuka maisha ya zamani,
Japo naonekana mshamba mbele ya kadamnasi ila nmeitamani zamani.
Nimetamani kuyaishi maisha yale
Zamani akina mama walivaa nguo ya ndani-suruali-gagulo-kisha sketi au gauni
Zamani wanawake walisimama kisha kupiga magoti wakiongea na wanaume!
Zamani bikira zilikua ni lazima kwa mwanamke (leo ukiongelea bikira unaonekana unawaonea)
Zamani vijana walisikiliza sana wazee wao pindi waongeapo!
Zamani kutembeleana lilikua ni swala la muhimu kwa wote
Zamani mboga majani na nyama zilikua tamu kuzidi kawaida
Zamani akina dada walisafisha nyumba na kulima vinyungu kuliko kawaida!
Zamani tulivuna mahindi kisha kuyaweka kwenye kihenge..,hatukuhitaji madawa kuyafanya yaishi
Zamani grocery na vilabuni waliuza akina mama
Zamani bar walikuepo wazee na wababa watu wazima
Zamani sigara zilitumiwa na wazee
Zamani bangi ilivutwa kwa kificho
Zamani ukahaba ulifanywa kwa siri sana
Zamani tuliandikiana barua na kuviziana chini ya mto au kando ya kisima cha maji.
Zamani ukipanda gari hutamani kushuka hata
Zamani taraka zilitolewa kwa aibu
Zamani wanaume walieapenda wake zao
Na wanawake walitii!
Zamani
Zamani zamani……….
Leta yako moja ulioikumbuka toka zamani..