huyu sio nyoka, ni joka la kibisa kwaajili ya mazingahombwe kwenye mikutano ya chama cha kijani.
Kwann CCM isiwe ya kwanzaAdui yako mwombee njaa... mi adui yangu namba moja ni nyoka, namba mbili Yanga na namba tatu CCM.
Adui namba moja ni yule anayeweza kukudhuru... CCM hawana jeuri hiyo... nabanana nao kiume.Kwann CCM isiwe ya kwanza
Akili zao wanazijua wenyewe...huyu sio nyoka, ni joka la kibisa kwaajili ya mazingahombwe kwenye mikutano ya chama cha kijani.
Chunga sana mkojo wakoAdui namba moja ni yule anayeweza kukudhuru... CCM hawana jeuri hiyo... nabanana nao kiume.
Nimeshaukamua wote... Sana sana wakipima watakuta nakojoa nyagi...Chunga sana mkojo wako
Unakula nyara za serikali!Leo nimetembelea Vetrix kwa bwana mmoja mfuga nyoka, jamaa ana varieties of snakes na wapo wa utalii na waliokomaa huwavuna kwa ajili ya chakula, dawa na uuzaji wa sumu. Basi tuliingia mgahawa wake baada ya utalii, tukaelekea banda la kuchagua kitoweo na tulimchagua laddar snake.
Aisee walikaangwa, na tukaletewa. Walipowekwa kwa sahani huwezi amini kama ni nyoka. Ni watamu kama samaki aina ya kibua na so nutritious. Ni mara ya kwanza kula nyoka, but real watamu.
Ushauri: Watanzania badala ya kuwaua nyoka ni vizuri tuwafuge kwa ajili ya kitoweo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Haaaaa haaaaa ENEMY OF SAME BATTLE-I support u in CCM&SNAKEAdui yako mwombee njaa... mi adui yangu namba moja ni nyoka, namba mbili Yanga na namba tatu CCM.
Ila hapo kwa Yanga ndo sikuambii kitu... siyo??Haaaaa haaaaa ENEMY OF SAME BATTLE-I support u in CCM&SNAKE
Haaaaa haaaaa Let's b enemy in sport for a while bossIla hapo kwa Yanga ndo sikuambii kitu... siyo??
Alright then... agreed!Haaaaa haaaaa Let's b enemy in sport for a while boss
Rafiki umeshawahi kula nini?