Leo nimekula nyoka, mtamu!

Leo nimekula nyoka, mtamu!

Woyoo,,,simba mnyamaaaaaa
katuni-championi.jpg
 
Usitufanye sisi wajinga.
Kama kweli umekula na mara yako ya kwanza bila shaka ulipiga picha msosi wakati mnakula.
Huna lolote. Hizo picha hapo juu zipo google hata mimi naweza kuzijaza hapa.
Acha kutufanya sisi wajinga.
Wewe ni Muongo tu
 
Mkuu ingekuwa vema kama ungeweka picha za nyama hiyo badala ya hayo majoka mazima ktk post yako.
 
Jamaa anaingia bandani anawakamata kama kuku tu! Issue huwa ni kwenye banda la cobra, ukiona anavyowafukuza na kuwadaka unaweza kutoka nduki!!!

Kuchinja ni easy, anamlaza kwenye kigogo anapiga panga, then anamkatakata mapande, huko jikoni ndo sijui ila kinatoka kitu saaafi kabisa! Mazingira ni masafi Sana...

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu hii kitu huwa naitamani sana kuila. Ni wapi hapa bongo naweza kupata kitoweo cha nyoka? Nazungumzia hoteli au cafe yyte
 
Magu alivyobana, nawaza kuanza kula MENDE! najua ctapata washindani wengi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom