mbudunge
JF-Expert Member
- Jul 7, 2015
- 1,735
- 1,092
Hapo sawa rafiki. Hiyo nyama ina wenyewe.Ahaha! Nyoka haliki, hata kumuona hua sipendi
Hapo sawa rafiki. Hiyo nyama ina wenyewe.
Woyoo,,,simba mnyamaaaaaaAdui yako mwombee njaa... mi adui yangu namba moja ni nyoka, namba mbili Yanga na namba tatu CCM.
Hapo sawa rafiki. Hiyo nyama ina wenyewe.
Woyoo,,,simba mnyamaaaaaa
Siku ukiionja utatamani kuwafugaHapo sawa rafiki. Hiyo nyama ina wenyewe.
Adui no 1 wa Asprin tumemchinja!! Watani wanaliaaa eti penalty, kama wangeshinda wao leo tungelala?..... Dada Mongue niongezee supu ya chatu nisherehekee ushindi mie!Woyoo,,,simba mnyamaaaaaa
Umewahi kujaribu kumla? Kama unaweza kula samaki Basi hata nyoka unaweza vzr tu!Ahaha! Nyoka haliki, hata kumuona hua sipendi
HhhhaaaaAdui no 1 wa Asprin tumemchinja!! Watani wanaliaaa eti penalty, kama wangeshinda wao leo tungelala?..... Dada Mongue niongezee supu ya chatu nisherehekee ushindi mie!
Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa rafiki salimia woteHaya rafiki usiku mwema.
Ngoja sie tulale
Mkuu wala hunishawishi aisee
Mkuu hii kitu huwa naitamani sana kuila. Ni wapi hapa bongo naweza kupata kitoweo cha nyoka? Nazungumzia hoteli au cafe yyteJamaa anaingia bandani anawakamata kama kuku tu! Issue huwa ni kwenye banda la cobra, ukiona anavyowafukuza na kuwadaka unaweza kutoka nduki!!!
Kuchinja ni easy, anamlaza kwenye kigogo anapiga panga, then anamkatakata mapande, huko jikoni ndo sijui ila kinatoka kitu saaafi kabisa! Mazingira ni masafi Sana...
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapo kwenye yanga umenikoshaa saanaaaAdui yako mwombee njaa... mi adui yangu namba moja ni nyoka, namba mbili Yanga na namba tatu CCM.

Mimi adui no.1 CCM,no 2 ni ccm ....no.3 ni ccm mpka no.10Adui yako mwombee njaa... mi adui yangu namba moja ni nyoka, namba mbili Yanga na namba tatu CCM.