Leo nimekula nyoka, mtamu!

Leo nimekula nyoka, mtamu!

Ulitumia kipimo gani kujua kuwa ni nutritious papo kwa papo,sili hata unipige,unajua hii kulakula kila kilichokaangwa vizuri ndio maana baadhi ya wachina wamefikia mpaka kula nyama za watu..
Ile kitu hata kwa macho tuu unaona maprotini.... Joking!

Imeandikwa kwa menu yao mgahawani!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi mleta mada hawa nyoka unawapendea nini??? Maana kila siku tufuge tufuge....

Ningekuwa na Muda ningetoa ushuhuda wa namna hawa wadudu walivyonigharimu juzi.
 
Hivi mleta mada hawa nyoka unawapendea nini??? Maana kila siku tufuge tufuge....

Ningekuwa na Muda ningetoa ushuhuda wa namna hawa wadudu walivyonigharimu juzi.
Pole Mangi, najua tatizo ni kuwazoea na kufuata taratibu! Kwa Tz ukiwafuga hukawii kuitwa mwanga!

Yalikukuta yepi?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Inaweza kuwa kweli,cause Kule kwetu ziwa Nyasa Kuna ndugu zangu Kule wao wanakula mamba nyama INA ladha ya samaki,wanachofanya kuitaarifu serikali ichukue nyongo ya mamba kwa sababu ile sumuu mbaya inaua dakika tu,na kwa sasa mamba hawapatikani ,zamani walikuwa ni shida walikuwa wanauwa watu yaani kougelea ni kwa timing,ukiona gogo jeusi chini mnajishauri kuoga,lakini kwa sasa shwaaaaari ni kuogelea mpaka kuchoka
 
Inaweza kuwa kweli,cause Kule kwetu ziwa Nyasa Kuna ndugu zangu Kule wao wanakula mamba nyama INA ladha ya samaki,wanachofanya kuitaarifu serikali ichukue nyongo ya mamba kwa sababu ile sumuu mbaya inaua dakika tu,na kwa sasa mamba hawapatikani ,zamani walikuwa ni shida walikuwa wanauwa watu yaani kougelea ni kwa timing,ukiona gogo jeusi chini mnajishauri kuoga,lakini kwa sasa shwaaaaari ni kuogelea mpaka kuchoka
Hata poisonous snakes si kwamba mwili mzima upo na sumu! Sumu ipo kwa buds au chini ya meno ambapo akii-secrete ndo inakuwa shida, so ukicontrol huo Mfumo unamtafuna vizuri tu!

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom