Jumong S
JF-Expert Member
- Jul 3, 2013
- 7,427
- 10,749
- Thread starter
- #81
Ile kitu hata kwa macho tuu unaona maprotini.... Joking!Ulitumia kipimo gani kujua kuwa ni nutritious papo kwa papo,sili hata unipige,unajua hii kulakula kila kilichokaangwa vizuri ndio maana baadhi ya wachina wamefikia mpaka kula nyama za watu..
Imeandikwa kwa menu yao mgahawani!
Sent using Jamii Forums mobile app