Leo nimefukuzwa kazi rasmi

Kwani hukuziona dalili za kufukuzwa au ulikaza fuvu?
Kuna muda inabidi uache tu kazi,maana usipowawahi watakuwahi wao!
 
LEO tarehe 04/10
Mliowai fukuzwa kazi hii inakuaje? sikua na savings, sikujiandaa!! Nasomesha na mke !!

Aisee nilipo hapa nacheka na kulia kwa wakat mmoja!!
Ulishawai pitia hii hali?

View attachment 2772266



Tarehe05/10
Nimeuza Godoro lasmi naelekea kwetu Tandahimba.
MPYA HII,hapa mfanyabiashara na mtumiaji wa viazi mviringo,,,,,,,,,,(kiepe)
Msimu umewadia.tenaaaaaa,
KARIBU,mkoa wa
NJOMBE,kusini mwa Tanzania, ujipatie viazi mviringo aina zote,unazotaka wew kwa bei nafuu,kabs,....
Wewe dalali na mfanyabiashara mnakaribishwa,....
bei maelewano,
Mawasiliano 0620743697.
View attachment 2773022
FB_IMG_16964051107131837.jpg
View attachment 2773023
 
LEO tarehe 04/10
Mliowai fukuzwa kazi hii inakuaje? sikua na savings, sikujiandaa!! Nasomesha na mke !!

Aisee nilipo hapa nacheka na kulia kwa wakat mmoja!!
Ulishawai pitia hii hali?

View attachment 2772266



Tarehe05/10
Nimeuza Godoro lasmi naelekea kwetu Tandahimba.
Kwa tuliosemea Saikolojia na Kubobea nayo ukichanganya na ile ya Kuzaliwa nayo kwa Uandishi na Uwasilishaji wako huu umeamua Kuitunga tu hii Taarifa yako na imekaa Kinafiki na Kisanifu zaidi.
 
LEO tarehe 04/10
Mliowai fukuzwa kazi hii inakuaje? sikua na savings, sikujiandaa!! Nasomesha na mke !!

Aisee nilipo hapa nacheka na kulia kwa wakat mmoja!!
Ulishawai pitia hii hali?

View attachment 2772266



Tarehe05/10
Nimeuza Godoro lasmi naelekea kwetu Tandahimba.
Pole mkuu,kawaida hiyo mimi nilikuwa salesman wa kampuni moja ya sigara hapa nchini
,kiliwaka 2013mke wangu akiwa na mtoto wa mwezi mmoja!Unga na vitu vingine muhimu ndani sina,kikawaka Mungu ni mwema ,babu yangu alinifundisha nikiwa bado mdogo kwamba ajira usiweke miguu yote ndani!Hivyo sikupata sonona kabisa.Nipo na nadunda tuu na mtoto yupo darasa la5sasa.
 
Pole mkuu,kawaida hiyo mimi nilikuwa salesman wa kampuni moja ya sigara hapa nchini
,kiliwaka 2013mke wangu akiwa na mtoto wa mwezi mmoja!Unga na vitu vingine muhimu ndani sina,kikawaka Mungu ni mwema ,babu yangu alinifundisha nikiwa bado mdogo kwamba ajira usiweke miguu yote ndani!Hivyo sikupata sonona kabisa.Nipo na nadunda tuu na mtoto yupo darasa la5sasa.

Sasa umemsaida kitu gani hapo chief?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom