Loftins
JF-Expert Member
- Oct 1, 2017
- 10,299
- 13,346
Kama lako tu wewe ni Semsigwa kutoka Msekewe jamaa bhana, unajua hadi makabila ya watu humu
Kama lako tu wewe ni Semsigwa kutoka Msekewe jamaa bhana, unajua hadi makabila ya watu humu
😂😂😂😂😂😂 sasa ka kweli ni mkorofi. Ulitaka asikuandike khaaaaHuyo monitor alinitesa sana kila akiulizwa majina ya wapiga kelele lazima anichomeke humo😂
Kwa mwendo huo wa kuamin kuuza vitu vya ndan ndio suluhu utauza mpaka pahala pako
Kama lako tu wewe ni Semsigwa kutoka Mseke
Kwani hukuziona dalili za kufukuzwa au ulikaza fuvu?
Kuna muda inabidi uache tu kazi,maana usipowawahi watakuwahi wao!
Kweli mkuu ushakua babu😂😂😂Una mke..??
Mna watoto..??
Una pesa ngapi kash..??
Unaishi wapi..??
Ebu kwanza jibu hayo maswqali hapo juu, kisha upate ushauri unao endana na aina ya familia ulionayo, mazingira uliyopo na pesa ulio nayo mkononi wakati huu.
Kweli mkuu ushakua babu
Ashasema ana watoto na anaskmesha
Unaomba jamvi kwenye Msiba mkuu...Mkuu naomba nikopeshe hiyo 700,000 Nitakurudishia after 2 weeks, Nina shida sana mkuu, Au hata 500k ikiwezekana
MPYA HII,hapa mfanyabiashara na mtumiaji wa viazi mviringo,,,,,,,,,,(kiepe)LEO tarehe 04/10
Mliowai fukuzwa kazi hii inakuaje? sikua na savings, sikujiandaa!! Nasomesha na mke !!
Aisee nilipo hapa nacheka na kulia kwa wakat mmoja!!
Ulishawai pitia hii hali?
View attachment 2772266
Tarehe05/10
Nimeuza Godoro lasmi naelekea kwetu Tandahimba.
ndiyooo😊😊😊 kwa nini usiwe specific, kwa mkewe.
HIV inakuaje mnatukanana na bos.? Mm bos wangu anajifanya mamba wakati mm mwenyew kiboko. Yani mda mwingine mm ndo nageuka bos wake siku nkiamka nazoMaishani mwangu, nishafukuzwa kazi mara kadhaa
ikiwemo kupigana, kumtukana bosi, kusingiziwa kuiba, na kukataa amri za kipumbavu...
Nahitji hizi unauzajeMPYA HII,hapa mfanyabiashara na mtumiaji wa viazi mviringo,,,,,,,,,,(kiepe)
Msimu umewadia.tenaaaaaa,
KARIBU,mkoa wa
NJOMBE,kusini mwa Tanzania, ujipatie viazi mviringo aina zote,unazotaka wew kwa bei nafuu,kabs,....
Wewe dalali na mfanyabiashara mnakaribishwa,....
bei maelewano,
Mawasiliano 0620743697.
View attachment 2773022View attachment 2773024View attachment 2773023
Kwa tuliosemea Saikolojia na Kubobea nayo ukichanganya na ile ya Kuzaliwa nayo kwa Uandishi na Uwasilishaji wako huu umeamua Kuitunga tu hii Taarifa yako na imekaa Kinafiki na Kisanifu zaidi.LEO tarehe 04/10
Mliowai fukuzwa kazi hii inakuaje? sikua na savings, sikujiandaa!! Nasomesha na mke !!
Aisee nilipo hapa nacheka na kulia kwa wakat mmoja!!
Ulishawai pitia hii hali?
View attachment 2772266
Tarehe05/10
Nimeuza Godoro lasmi naelekea kwetu Tandahimba.
Pole mkuu,kawaida hiyo mimi nilikuwa salesman wa kampuni moja ya sigara hapa nchiniLEO tarehe 04/10
Mliowai fukuzwa kazi hii inakuaje? sikua na savings, sikujiandaa!! Nasomesha na mke !!
Aisee nilipo hapa nacheka na kulia kwa wakat mmoja!!
Ulishawai pitia hii hali?
View attachment 2772266
Tarehe05/10
Nimeuza Godoro lasmi naelekea kwetu Tandahimba.
Pole mkuu,kawaida hiyo mimi nilikuwa salesman wa kampuni moja ya sigara hapa nchini
,kiliwaka 2013mke wangu akiwa na mtoto wa mwezi mmoja!Unga na vitu vingine muhimu ndani sina,kikawaka Mungu ni mwema ,babu yangu alinifundisha nikiwa bado mdogo kwamba ajira usiweke miguu yote ndani!Hivyo sikupata sonona kabisa.Nipo na nadunda tuu na mtoto yupo darasa la5sasa.
UkKuuliza yupo wapi ndo kumpa gundu?
Sasa umemsaida kitu gani hapo chief?
Achukulie kawaida tuu,afikirie mambo mengine sio lazima ajira,nadhani yeye kanielewa,labda wewe ndo shida!Sasa umemsaida kitu gani hapo chief?