MKWEPA KODI
JF-Expert Member
- Nov 28, 2015
- 28,700
- 71,102
Kuna binti wa chuo nimemfuatilia kwa muda mrefu wa miezi mitatu hivi. Kwa bahati nzuri leo nikakutana naye amekuja kusalimia kwao, nikamuomba kama utani hivi tukaongee kidogo gesti ya jirani, akanikubalia kirahisi tu.
Tukaenda naye gesti, aisee yaani nilikuwa na usongo kishenzi. Ile tumefika, tumevua nguo jamaa yangu akagoma kusimama. Yaani nimehangaika mpaka binti akachoka kusubiri.
Nimejisikia vibaya mpaka aibu. Binti wa watu akavaa nguo zake akaondoka, nimebaki na aibu tu!
Tukaenda naye gesti, aisee yaani nilikuwa na usongo kishenzi. Ile tumefika, tumevua nguo jamaa yangu akagoma kusimama. Yaani nimehangaika mpaka binti akachoka kusubiri.
Nimejisikia vibaya mpaka aibu. Binti wa watu akavaa nguo zake akaondoka, nimebaki na aibu tu!