Leo nimeaibika kwenye tendo

Tumbili in town

JF-Expert Member
Joined
Jun 20, 2025
Posts
386
Reaction score
610
kifupi ipo hivi niliachana na demu wangu last year nikawa ni mtu wa nyero na kununua madanga, hivi karibuni nimepata demu ,

Leo nilikua nae kwenye show baada ya bao la kwanza mashine ikasinyaa nikakaa kama nusu saa ikawa fresh tena ila Sasa kwenye bao la pili sikumwaga mpaka pumzi ikaniishia na mashine ikasinyaa Tena

Nipeni ushauri Cha kufanya maana tangu nianze hizi harakati ni siku mmoja tu nilishawahi kumaliza bao la pili mbali na hapo uwa naishia lakwanza
 
Usishindane na shimo la taka wewe piga single entry tulia,mikuma yenyewe inanuka,shinda mechi zako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…