Lizaboni
JF-Expert Member
- Feb 21, 2013
- 33,901
- 20,416
Mkuu, hivi na wewe upo uraiani? Si ulikuwa hoi huko Mirembe?Wamekutoa lini mirembe wew mgonjwa wa akili .
Mkuu, hivi na wewe upo uraiani? Si ulikuwa hoi huko Mirembe?Wamekutoa lini mirembe wew mgonjwa wa akili .
UKAWA wanakuwasha sana usipoandika hilo jina hujisikii raha kabisa UKAWA ni mti wenye matunda mema kurushiwa mawe kawaida kipigo cha matokea ya serikali za mitaa ni dalili tosha anguko la ccm kukaribiaLowasa hawezi kuwa Rais wa Tanzania na UKAWA hawatashinda uchaguzi ujao. Fullstop
Lowasa kuwa Rais ni ndoto za ali nacha
wamekutoa lini mirembe nakumbuka ulikuwa umefungwa na minyororo ukichaa wako ulikuwa unapanda sanaMkuu, hivi na wewe upo uraiani? Si ulikuwa hoi huko Mirembe?
Ndoto yako imekaa kama vile umeitengeneza,all in all ofcourse Lowasa ndo rais ajaye wa 5 wa tanzania hilo halina ubishi,ila hajafikia hatua ya kutomsalimia MZEE WA TEZI DUME kwa mkono,bado ni marafiki na urafiki wao utaendelea kwa miaka mingi ijayo
Lowasa hawezi kuwa Rais wa Tanzania na UKAWA hawatashinda uchaguzi ujao. Fullstop
watu walishaenda kucheki kwa wakuu,
jina la atakaye kuwa rais wa tanzania halifahamiki kwa wengi...
Hata hivyo tanzania itapata raisi 2016...kwani kuna maafa fulani yatatokea kwa wagombea....
Mnataka kuendesha nchi kwa ndoto?
hongo mbaya sana.
Mtu ni mla rushwa na mgonjwa mnataka aje awe msemaji wa mwisho wa maisha yetu no no no aendelee na dozi zake tu Monduli Pamemtosha.
yule anafaa kwenye uongo na wizi tuuuProf. Muhongo Anafaa
UKAWA hatuwezi kumpokea mtu mchafu kama Lowassa bora abaki huko kwa wezi wenzake ccmKwani hujui lowassa hakufunga ndoa na ccm. .....anaweza hamia ukawa akitaka
Mkuu sio hao,ila ni 2b1ask1Eeh! Kaka umeongea nao hao kina Sheikh Yahya nini?
Mida ya alfajiri leo hii niliota lowassa kashinda urais 2015 .... sasa tupo uwanja wa taifa rais anaapishwa. ...... ile kikwete anaamka anamkaribisha lowassa kwenye kile kiti maalum ..... kikwete akampa lowassa mkono lowassa akagoma kupokea. ....mara body guard wa kikwete akachomoa pistol anataka kumshoot lowassa. ..... bahati nzuri makamandoo wakaingilia kati. ..... punde si punde zikatokea chopper mbili zenye chata za USA zikampaisha lowassa hadi ikulu. ..... .......sikumbuki kilichoendelea ila watu walichanganyikiwa wengi walilia. .......
Niliogopa sana sikuweza kulala tena
Hii escrow itanifanya chizi
...... naomba kama kuna anaweza anitafsirie hii ndoto yangu. ..