Leo niliota ndoto mbaya sana

Leo niliota ndoto mbaya sana

mafurikoyamoto

Senior Member
Joined
Sep 13, 2013
Posts
160
Reaction score
53
Mida ya alfajiri leo hii niliota lowassa kashinda urais 2015 .... sasa tupo uwanja wa taifa rais anaapishwa. ...... ile kikwete anaamka anamkaribisha lowassa kwenye kile kiti maalum ..... kikwete akampa lowassa mkono lowassa akagoma kupokea. ....mara body guard wa kikwete akachomoa pistol anataka kumshoot lowassa. ..... bahati nzuri makamandoo wakaingilia kati. ..... punde si punde zikatokea chopper mbili zenye chata za USA zikampaisha lowassa hadi ikulu. ..... .......sikumbuki kilichoendelea ila watu walichanganyikiwa wengi walilia. .......

Niliogopa sana sikuweza kulala tena

Hii escrow itanifanya chizi

...... naomba kama kuna anaweza anitafsirie hii ndoto yangu. ..
 
lowassa hawezi kuwa rais wa nchi hii, ila atasaidia sana kupatikana rais kutoka ukawa mwakani
 
Ndo yako inaashiria kuwa JK amefanya mambo mengi sana ya kumdhuru Lowassa bila mafanikio kwani analindwa na malaika wawili (chopper) ...
 
Mida ya alfajiri leo hii niliota lowassa kashinda urais 2015 .... sasa tupo uwanja wa taifa rais anaapishwa. ...... ile kikwete anaamka anamkaribisha lowassa kwenye kile kiti maalum ..... kikwete akampa lowassa mkono lowassa akagoma kupokea. ....mara body guard wa kikwete akachomoa pistol anataka kumshoot lowassa. ..... bahati nzuri makamandoo wakaingilia kati. ..... punde si punde zikatokea chopper mbili zenye chata za USA zikampaisha lowassa hadi ikulu. ..... .......sikumbuki kilichoendelea ila watu walichanganyikiwa wengi walilia. .......

Niliogopa sana sikuweza kulala tena

Hii escrow itanifanya chizi

...... naomba kama kuna anaweza anitafsirie hii ndoto yangu. ..


Ndoto yako imekaa kama vile umeitengeneza,all in all ofcourse Lowasa ndo rais ajaye wa 5 wa tanzania hilo halina ubishi,ila hajafikia hatua ya kutomsalimia MZEE WA TEZI DUME kwa mkono,bado ni marafiki na urafiki wao utaendelea kwa miaka mingi ijayo
 
CCM hawana qualified presidential candidate. Hawana mgombea wa urais, wote hovyo tu!

Anyway, Nilipoisoma post, nikafikiri mambo ya popo bawa!
 
utaota sana Lowassa na ccm kwa ujumla wote wachafu hakuna mwenye sifa za kugombea uraisi 2015 chaguo la watanzania ni DR SLAA.
 
CCM hawana qualified presidential candidate. Hawana mgombea wa urais, wote hovyo tu!

Anyway, Nilipoisoma post, nikafikiri mambo ya popo bawa!
Mkuu, nitajie chama ambacho kina presidential materials nje ya ccm
 
Mnataka kuendesha nchi kwa ndoto?
hongo mbaya sana.
Mtu ni mla rushwa na mgonjwa mnataka aje awe msemaji wa mwisho wa maisha yetu no no no aendelee na dozi zake tu Monduli Pamemtosha.
 
Nchi haiongozwi kwa ndoto, hivi unafikiria JK hajawahi kupata ndoto yoyote toka kwa Hayati Nyerere? sasa angekuwa anafanyia kazi kila ndoto anayoota tusingekuwa na nchi...
 
watu walishaenda kucheki kwa wakuu,
jina la atakaye kuwa rais wa tanzania halifahamiki kwa wengi...
Hata hivyo tanzania itapata raisi 2016...kwani kuna maafa fulani yatatokea kwa wagombea....
 
Back
Top Bottom