Leo niliota ndoto mbaya sana

Leo niliota ndoto mbaya sana

Kama Lowassa mwenyewe ana ndoto wafuasi wake ni lazima wawote ndoto zaidi yake.
 
tafsiri ya ndoto yako ( kama alivyonidokeza babu yangu ) ni kwamba kuna hatari ukafa kabla ya uchaguzi wa 2015 , pole sana mkuu !
 
Hiyo ndoto yako ni matokeo ya kuamini na kutafakari sana porojo kama ambavyo zinaletwa na wana propaganda wA hawa boyz II men,hakuna kitu chochote kama bifu au kutokuelewana kati ya hawa jamaa wawili i.e JK na EL hilo nataka kukuhakikishia halipo.Kinachotengenezwa kionekane kama bifu ni mchezo wa kuigizwa ambalo lengo lake kuu ni kumbeaba Lowassa.Jk kafeli hakuna cha maisha bora kwa ari zaidi wala cha nini jamaa katota maisha ya watanzania yamekuwa from bad to worse.Na wao wanalijua hili.
Katika mazingira hayo sasa ni mbaya sana kwa Lowassa kuonekana yupo karibu sana na Kikwete kwa hiyo huo uadui wa kutengenezwa unampaisha EL ni janja ya nyani tu hiyo.
Ndo maana hawa kina Membe,Wassira,Pinda,Sitta na wengineo wote anaousaka urais kwa ticket ya ccm wanacheza makidamakida.Labda waanze kujipanga kwa mtindo mwingine lakini malengo ya hawa wajanja wawili ni kuachiana kiti,na kila kitu kinakwenda kama kilivyopangiliwa na ndiyo maana JK hawezi kufanya jambo lolote hata kama lipo ndani ya uwezo wake kufanya chochote ambacho kitamwekea usiku EL kwenye safari yake ya kwenda magogoni.
Mambo yote ya kampeni ambazo EL kimsingi keshazianza kitambo yana baraka zote za iku JK na msaada pia pale unapohitajika,na ndiyo maana utakuta viongozi wote wa chama Lumumba wanaongea hivi majukwaani lakini linapokuja suala kushughulikia masuala ya mipango ya EL katika kumsafishia njia wote wapo huko kwa EL.Kama miezi kadhaa imepita wabunge wastaafu toka maeneo mbalimbali nchini waliletwa Dar,kina Kirumbe Ng'enda ndo Hussein Bashe walikuwa mstari wa mbele kuwahudumia na kuwapeleka nyumbani kwa EL na kimsingi hicho tu ndo kilichokuwa kimewaleta,wazee wakaondoka na bahasha zao nene kurudi mkoa.
Sasa kumbuka wakati unaendelea kuota kumbuka kumchagua Lowassa wako ni kuirudisha nchi kwenye himaya ya akina Rostam Aziz,hivyo vi mia mbili miambili vyako vinavyokusukuma kupost huo upuuzi wako wa kijingajinga utakuja zitapika zote.Ustawi wa jamii nzima ya watanzania hautaletwa kamwe na mtu awaye yeyote kutoka ccm.JIPANGE.

Ukweli wa mambo upo kwenye maneno haya!Nakupa hongera kwa kuwafungua macho wengi wetu ambao walikuwa hawajui mchezo huu wa kisanii unaofanywa na wanaompigia debe uyu fisadi!!
 
unataka utuambie lowasa yupo kwa hisani ya watu wa USA mpaka izo chopper zije kubeba yeye kwani za hapa.haziwezi kumbeba
 
Ukawa mnajua kuwa Lowasa ni threat kwenu dats y mnampiga vita gogogogo my president
 
Back
Top Bottom