kimbweto
Member
- Oct 6, 2012
- 53
- 191
Washabiki wa mieleka leo kuna mapambano ya wrestlemania nawakumbusha tu mdau mwenzangu.DSTV
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Sa ngapi?Washabiki wa mieleka leo kuna mapambano ya wrestlemania nawakumbusha tu mdau mwenzangu.DSTV
Sent using Jamii Forums mobile app
Usinge_comment, hakika chuki humchoma anaeihifadhi.Katika michezo ya kiboya kwangu ni huu!
Sitokaa nielewe mtu anapigwa ngumi kama zote hapasuki wala havimbi wqla hazimii ola akidondoshwa tu kalegea ananyukwa hala f anafufuka na yeye anatoa kibano cha kiboya kwa mwenzake vile vile yaani ungese ungese tu kama watu wa kanga moko tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Imeshaanza kwaniBubashara kabsa namsubiri king Stone afanye yake.
not but pray.
Imeshaanza kwani
Wa sukumaland
The man. Becky lynch kashindazile mbwembwe zote za The beast block lesnar hahaha haha zimeishia wapi? Huyo ndo Seth ROLLINS.
naona Leo HAPPY NEW DAY watapika visheti vingi kwa ushindi wa KOFF KINGSTON.
hivi kule Kati ya Ronda Rousey, Beck na Charlotte flair nani ameshinda?
Dah maskini Ronda sikupenda The Man ashindeUshind kwa koffi Kingston, Seth Rollins and Fin Ballor nilitegmea ila Ushind wa BECKY LYNCH "THE MAN HERSELF" Nimeupenda zaid
Mimi hua nadhan Ronda anawaachiaga tu, yaani mchezo uko scripted nani ashinde. Sababu ki uhalisia Ronda yuko fit sana kwenye mapigano.Dah maskini Ronda sikupenda The Man ashinde