Leo ni siku yangu ya kuzaliwa.

Perry

JF-Expert Member
Feb 24, 2011
10,043
2,000
Heshima mbele wakuu..ebana leo ni cku yangu ya kuzaliwa,ndo nimetimiza miaka 24,namshukuru mungu na me kwa kufikisha idadi ya miaka hyo coz ni wengi walitaman kuifikia bt waliishia njiani.lakni cha kuckitisha hakutakua na tafrija ya aina yoyote as nimefulia sana.over
 
Happy birthday to u Senetor!! Tafrija sio muhimu sana kama kunyanyua mikono yako na kumshukuru muumba wako kwa kukupa uhai mpaka dakika hii...

Have a wonderful day birthday boi!!
 
Hongera kwa kuongeza mafungu ya miaka 10.
Kama una utajiri wa moyoni, kutokuwa na hela leo haitamaliza furaha yako.

Furahia na watu uwapendao na wakupendao hasa familia. Kama mko creative mnaweza ifanya iwe funny bila hata pesa.

Kitu muhimu, Enjoy, its ur day!
Happy birthday!

Kwa mchana leo hamli? Au usiku hamli?
Hicho hicho kilichopo, kata keki hata ya ugali.
 
Happy birthday,,,,,madamu hakuna tafrija...nitakuja na biya yangu....
 
Happy birthday to u Senetor!! Tafrija sio muhimu sana kama kunyanyua mikono yako na kumshukuru muumba wako kwa kukupa uhai mpaka dakika hii...

Have a wonderful day birthday boi!!

asante sana mkuu.
 
Hongera kwa kuongeza mafungu ya miaka 10.
Kama una utajiri wa moyoni, kutokuwa na hela leo haitamaliza furaha yako.

Furahia na watu uwapendao na wakupendao hasa familia. Kama mko creative mnaweza ifanya iwe funny bila hata pesa.

Kitu muhimu, Enjoy, its ur day!
Happy birthday!

Kwa mchana leo hamli? Au usiku hamli?
Hicho hicho kilichopo, kata keki hata ya ugali.

asante sana kongosho.
 
Ucjal sana tht ur broke, cha msingi ni kumshukuru aliyekulinda na kukufikisha hapo. Happy birthday..
 
Happy birthday ndugu,mungu akupe umri mrefu na maisha ya mafanikio na furaha tele,enjoy ur day!
 
Heshima mbele wakuu..ebana leo ni cku yangu ya kuzaliwa,ndo nimetimiza miaka 24,namshukuru mungu na me kwa kufikisha idadi ya miaka hyo coz ni wengi walitaman kuifikia bt waliishia njiani.lakni cha kuckitisha hakutakua na tafrija ya aina yoyote as nimefulia sana.over

Hapy birthday senator! mungu na akujalie maisha marefu zaidi. amina.
 
Happy birthday to u Senetor!! Tafrija sio muhimu sana kama kunyanyua mikono yako na kumshukuru muumba wako kwa kukupa uhai mpaka dakika hii...

Have a wonderful day birthday boi!!

Hii imetulia Kamanda!

Inamtosha!
 
Happy birthday to u Senetor!! Tafrija sio muhimu sana kama kunyanyua mikono yako na kumshukuru muumba wako kwa kukupa uhai mpaka dakika hii...

Have a wonderful day birthday boi!!

Nice message!

Tuko pamoja nawe usijisikie mpweke hata kama hauna kitu lakini walau umeweza kufungua JF inatosha sana kuna Chamalee wengi humu tutaungana nawe kwa replyz usikonde mkuu!

Happy Birthday!
 
Heshima mbele wakuu..ebana leo ni cku yangu ya kuzaliwa,ndo nimetimiza miaka 24,namshukuru mungu na me kwa kufikisha idadi ya miaka hyo coz ni wengi walitaman kuifikia bt waliishia njiani.lakni cha kuckitisha hakutakua na tafrija ya aina yoyote as nimefulia sana.over
enjoy ur day
images.jpg
 
Back
Top Bottom