Leo ni siku ya wajinga duniani

Leo ni siku ya wajinga duniani

Mshana Jr

Platinum Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
360,096
Reaction score
828,939
Leo ni siku ya wajinga duniani Aprili Mosi...
Usiamini chochote na usimwamini mtu yeyote. Kama siku nyingine yoyote. 🤪
25 Best April Fools Memes And Jokes To Crack You U.jpeg
 
Siku hii ilianza vipi?
Wanahistoria fulani wanakadiria kwamba Siku ya Wapumbavu wa Aprili ilianza mwaka wa 1582 wakati Ufaransa ilipobadilika kutoka kalenda ya Julian hadi kalenda ya Gregorian.

Mabadiliko haya ya kalenda yalibadilisha tarehe za mwaka na hivyo nchi ikaanza kusherehekea mwaka mpya Januari 1 badala ya Aprili.

Lakini kwa bahati mbaya, uamuzi wa kubadili kalenda uliofanywa na Papa Gregory XIII haukuwafikia raia wote wa Ufaransa na badala yake wengine waliendelea kusherehekea Mwaka Mpya Aprili 1. Hivyo, wale waliosherehekea Mwaka Mpya Aprili 1 waliitwa wapumbavu na siku hiyo ikajulikana kama Siku ya Wapumbavu Aprili.
 
Sasa watanzania wote si ni sikukuu yao hii?maana ndo majinga ya mwisho hapa duniani
Utopwinyo wanashangilia muda huu baada ya mwerevu mmoja kupost kwamba wamezishitaki TFF, bodi ya ligi & Simba sc 😂😂

Tangazo limechapishwa leo (sio na msemaji wa utopwinyo ) ila sasa utopwinyo fans wanatembea vifua wazi wakiimba kwamba watapewa goli na points 3😂😂😂

Kati ya watanzania na utopwinyo fans nani kasherehekea/anashereheshwa foolish day??

Ubaya Ubwela haijawahi kushindwa kuwaingiza mkenge utopwinyo 😂😂🤣
 
Utopwinyo wanashangilia muda huu baada ya mwerevu mmoja kupost kwamba wamezishitaki TFF, bodi ya ligi & Simba sc 😂😂

Tangazo limechapishwa leo (sio na msemaji wa utopwinyo ) ila sasa utopwinyo fans wanatembea vifua wazi wakiimba kwamba watapewa goli na points 3😂😂😂

Kati ya watanzania na utopwinyo fans nani kasherehekea/anashereheshwa foolish day??

Ubaya Ubwela haijawahi kushindwa kuwaingiza mkenge utopwinyo 😂😂🤣
Kuna hii nimeitoa FB😂😂😂

BREAKING NEWS

TUNDU LISU KUHAMIA CCM LEO , ATAONGEA NA VYOMBO VYA HABARI CHANZO CHA KUHAMA
 
Back
Top Bottom