Miradhi ya mali japo marehemu alikuwa mke wa pili na mpaka sasa mume amekuwa na umri umeenda kutembea ni shida na mume alirudi kwa mke wa kwanza huko rombo kabisa sema huyu mke wa pili yeye alikuwa kajengewa boma lake karibu na boma la mke wa kwanza sasa kuna tetesi zinasema mke wa kwanza katuma wauwaji ili watekeleze hivyo abaki na mali