wa stendi
JF-Expert Member
- Jul 7, 2016
- 24,688
- 26,795
Mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema.
Ikumbukwe kuwa kuna uzi uliletwa humu juzi kuwa Moshi, Kilimanjaro kata ya Mwika Uuwo kuna mama alikatwa shingo hadi kufa na watu wasiojulikana na jeshi la polisi mkoa wa Kilimanjaro akasema chanzo cha kifo ni wivu wa kimapenzi basi leo ndio tufamuhifadhi kwenye nyumba yake ya milele.
R.I.P shangazi inauma sana tunamwachia Mungu ndie hakimu wa mwisho.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ikumbukwe kuwa kuna uzi uliletwa humu juzi kuwa Moshi, Kilimanjaro kata ya Mwika Uuwo kuna mama alikatwa shingo hadi kufa na watu wasiojulikana na jeshi la polisi mkoa wa Kilimanjaro akasema chanzo cha kifo ni wivu wa kimapenzi basi leo ndio tufamuhifadhi kwenye nyumba yake ya milele.
R.I.P shangazi inauma sana tunamwachia Mungu ndie hakimu wa mwisho.
Sent using Jamii Forums mobile app