Nimekumbuka na jana tena Makonda alimpiga chini yule kada wa chadema Kubenea.
Duh!
Ndio maana nimewaambia jiwekeni wazi na mtueleze kazi ya UVCCM ni kutengeneza majambazi na sio viongozi wa siku za usoni?
Nimekumbuka na jana tena Makonda alimpiga chini yule kada wa chadema Kubenea.
Duh!
Kumbuka kakaa Jela mwaka mzima,kama ni marinda yote masela wamesepa nayo, ukichanganya na lile nundu basi raha sana!!!kimsingi hata akitoka Jela leo lakini Nidhamu imerudi,yaani hata akiona Kuku barabarani atakuwa anatoa Shikamoo akiwa amepiga na goti!!!ule ubabe wake wote hautakuwepo tena maana akili imemkaa sawa
Jinga kabisaNaibu DPP anatumika na Chadema na wachaga kumkomoa Sabaya.
Anatumia Rasilimali za serikali kufurahisha ndugu zake.
Jambo hili likiachwa liendelee litatengeneza uadui kati ya makabila hapa nchini.
Kwahiyo na Mbowe aliekaa jela ile miezi 9 nae malinda yake nyang'anyang'aLeo atalala Jela Kisongo,kesho safari ya Gereza la Karanga Moshi inaanza,kakaa Jela mwaka mzima marinda yote nyang'anyang'a,yaani hata akiingia uraiani leo Heshima na Nidhamu itakuwa imetamaradi vya kutosha,ule ubabe wake wote kwisha habari yake,hakika hata akiona Mbuzi barabarani atapiga goti na kutoa shikamoo,tukutane Gerezani Karanga Moshi
Mbona hata wewe hujaenda hata jela lakini tumesepa na rinda lako kwa hiyari kwa yako mwenyewe?Kumbuka kakaa Jela mwaka mzima,kama ni marinda yote masela wamesepa nayo, ukichanganya na lile nundu basi raha sana!!!kimsingi hata akitoka Jela leo lakini Nidhamu imerudi,yaani hata akiona Kuku barabarani atakuwa anatoa Shikamoo akiwa amepiga na goti!!!ule ubabe wake wote hautakuwepo tena maana akili imemkaa sawa
usifikiri kila mtu ni mwepesi wa kutoa malinda namna hiyo kama wewe😅😅.Kumbuka kakaa Jela mwaka mzima,kama ni marinda yote masela wamesepa nayo, ukichanganya na lile nundu basi raha sana!!!kimsingi hata akitoka Jela leo lakini Nidhamu imerudi,yaani hata akiona Kuku barabarani atakuwa anatoa Shikamoo akiwa amepiga na goti!!!ule ubabe wake wote hautakuwepo tena maana akili imemkaa sawa