Tuko
JF-Expert Member
- Jul 29, 2010
- 11,178
- 7,319
Kesho jumamosi mfungo unaanza, so leo ni kuvunja jungu.
Bila shaka leo...
Nawatakia Ramadhan karim, kuanzia kesho
Bila shaka leo...
- Gesti, na lodge zitajaa kabla ya saa 10 jioni (but zitakuwa wazi saa 4 usiku!)
- Biashara ya kileo itachanganyia
- Biashara ya ..ndom italipa
- Biashara ya bodaboda jioni ya leo itakuwa bomba
- Maeneo ya vichochoroni na makaburini leo pea pea zitaongezeka
- Ukikatiza nyuma ya nyumba za kupanga tegemea makelele ya vitanda na miguno kila baada ya dirisha moja
- Wababa wengi watachelewa kurudi nyumbani, na wakirudi watakuwa wanasinzia ovyo
- Kina mama wengi watakuwa na 'matumbo ya kukata' na hawataruhusu 'kuguswa' na waume zao
- Watoto wengi wa kike (16-26), wataomba ruhusa kwenda tuition, kumsalimia shangazi, au kwenye bethdei za marafiki zao, na wakurudi watawahi bafuni
- Vijana wengi wa kiume wanaoishi kwa wazazi wao watachelewa kurudi hom, wakirudi wamelewa, na watakuwa wananukia
Nawatakia Ramadhan karim, kuanzia kesho