Leo ni kuvunja Jungu... Utabiri wa hali ya mambo.

Tuko

JF-Expert Member
Jul 29, 2010
11,178
7,319
Kesho jumamosi mfungo unaanza, so leo ni kuvunja jungu.
Bila shaka leo...
  • Gesti, na lodge zitajaa kabla ya saa 10 jioni (but zitakuwa wazi saa 4 usiku!)
  • Biashara ya kileo itachanganyia
  • Biashara ya ..ndom italipa
  • Biashara ya bodaboda jioni ya leo itakuwa bomba
  • Maeneo ya vichochoroni na makaburini leo pea pea zitaongezeka
  • Ukikatiza nyuma ya nyumba za kupanga tegemea makelele ya vitanda na miguno kila baada ya dirisha moja
  • Wababa wengi watachelewa kurudi nyumbani, na wakirudi watakuwa wanasinzia ovyo
  • Kina mama wengi watakuwa na 'matumbo ya kukata' na hawataruhusu 'kuguswa' na waume zao
  • Watoto wengi wa kike (16-26), wataomba ruhusa kwenda tuition, kumsalimia shangazi, au kwenye bethdei za marafiki zao, na wakurudi watawahi bafuni
  • Vijana wengi wa kiume wanaoishi kwa wazazi wao watachelewa kurudi hom, wakirudi wamelewa, na watakuwa wananukia

Nawatakia Ramadhan karim, kuanzia kesho
 
Mkuu una PHD ya ufahamu wa uhalisia wa maisha ya bongo sana, good work!!

Kesho jumamosi mfungo unaanza, so leo ni kuvunja jungu.
Bila shaka leo...
  • Gesti, na lodge zitajaa kabla ya saa 10 jioni (but zitakuwa wazi saa 4 usiku!)
  • Biashara ya kileo itachanganyia
  • Biashara ya ..ndom italipa
  • Biashara ya bodaboda jioni ya leo itakuwa bomba
  • Maeneo ya vichochoroni na makaburini leo pea pea zitaongezeka
  • Ukikatiza nyuma ya nyumba za kupanga tegemea makelele ya vitanda na miguno kila baada ya dirisha moja
  • Wababa wengi watachelewa kurudi nyumbani, na wakirudi watakuwa wanasinzia ovyo
  • Kina mama wengi watakuwa na 'matumbo ya kukata' na hawataruhusu 'kuguswa' na waume zao
  • Watoto wengi wa kike (16-26), wataomba ruhusa kwenda tuition, kumsalimia shangazi, au kwenye bethdei za marafiki zao, na wakurudi watawahi bafuni
  • Vijana wengi wa kiume wanaoishi kwa wazazi wao watachelewa kurudi hom, wakirudi wamelewa, na watakuwa wananukia

Nawatakia Ramadhan karim, kuanzia kesho
 
Hakuna kuvunja jungu ktk Uislam - ila kwa ujeuri wa binaadam hata apewe sheria za Mungu atazikana tu. E.g Padre Slaa alikuwa nahubiri kondoo zake wasivunje amri ya 6 Huku yeye ni Master wa kumega wake za watu. NARUDIA TENA UISLAM HAURUHUSU KUVUNJA JUNGU, ATAKAYE TENDA HAYO ULIYOYATAJA HAPO JUU ATALIPWA ACCORDING TO HAYO MATENDO.

UBARIKIWE - RAMADHANI KAREEM.
 
Kesho jumamosi mfungo unaanza, so leo ni kuvunja jungu.
Bila shaka leo...
  • Gesti, na lodge zitajaa kabla ya saa 10 jioni (but zitakuwa wazi saa 4 usiku!)
  • Biashara ya kileo itachanganyia
  • Biashara ya ..ndom italipa
  • Biashara ya bodaboda jioni ya leo itakuwa bomba
  • Maeneo ya vichochoroni na makaburini leo pea pea zitaongezeka
  • Ukikatiza nyuma ya nyumba za kupanga tegemea makelele ya vitanda na miguno kila baada ya dirisha moja
  • Wababa wengi watachelewa kurudi nyumbani, na wakirudi watakuwa wanasinzia ovyo
  • Kina mama wengi watakuwa na 'matumbo ya kukata' na hawataruhusu 'kuguswa' na waume zao
  • Watoto wengi wa kike (16-26), wataomba ruhusa kwenda tuition, kumsalimia shangazi, au kwenye bethdei za marafiki zao, na wakurudi watawahi bafuni
  • Vijana wengi wa kiume wanaoishi kwa wazazi wao watachelewa kurudi hom, wakirudi wamelewa, na watakuwa wananukia

Nawatakia Ramadhan karim, kuanzia kesho

Teh teh teh.... Jamani hii research sijui umeifanyia wapi Tuko maana naona kama ina ka ukweli flani hivi.. Hahahaaa.. Umewachoma baadhi yao mkuu..Am sure sio wote wanaofanya hivi.. LOL..
 
Back
Top Bottom