Tanganyika1
JF-Expert Member
- May 10, 2011
- 422
- 86
Hakuna duka,bar,msikiti wala kanisa!!Mie niko chini ya mti penye kivuli!Nashukuru Mungu pana network napooza machungu kwenye JF
Asanteni sana!Kwa nguvu za Mola tutafika
...we inaelekea unagundu. Nenda bagamoyo ukanawe yale maji ya baraka.