Mlishinda 2 bila huku golikipa akionyeshwa kadi nyekundu kipindi chote cha pili hamkuweza kupata goli unakumbuka?waitumie kwa wananchi uone watakavyo pigwa
Mlishinda 2 bila huku golikipa akionyeshwa kadi nyekundu kipindi chote cha pili hamkuweza kupata goli unakumbuka?waitumie kwa wananchi uone watakavyo pigwa
Hesabu na za yanga tena anza na mechi ya simba hivi kayoko yupo?Mpira umeanza kuangalia Jana au pombe zimekupanda,mwanzo mwa ligi Simba alishenyetwa vibaya mno ....kengold nilipata point 3 natamba
Endeleeni kubebwa Mech Vs Dodoma jiji,Azam ni ushahidi WA niliongea usilete mapenzi hapa ongea fact
Kayoko yupo wapi ,Sijakuelewa mkuuHesabu na za yanga tena anza na mechi ya simba hivi kayoko yupo?