eti anko mtataHamna kufanana hapo mkuu, ila kilichopo ni ukiiset akili yako kwamba watu hawa wanafanana bas na macho yataona hivyo.
So ni swala la kuiset akili na ukiiaminisha na huo msemo basi huwa hivyo, Mfano anko mtata apo na mkewe bi J hawafanani ata kiduchu.
Ina maana mama j ana sura ya kazi namna hiyo?? Sura kavu namna hiyo?? Nadhani haujamtendea haki.
Angela kairuki pia ameanza kufanana na yohanaIna maana mama j ana sura ya kazi namna hiyo?? Sura kavu namna hiyo?? Nadhani haujamtendea haki.
Kwa hiyo na mama mkapa anafanana na mkapa basi, dah!
ShkamooHata mimi nimeanza kufanana na Sky Eclat
Ila huyo mama Janeth kumfananisha na huyo mkolomije ni kuushushia heshima uumbaji wa Mungu
Nyie watu Mungu anawaona.Angela kairuki pia ameanza kufanana na yohana
Nishaandaa mkojo waje wanipimeNyie watu Mungu anawaona.
Kairuki anaingiaje hapo ?Kweli kabisa siamini kama kairuki amekuwa black ivyo