Lucchese DeCavalcante
JF-Expert Member
- Jan 10, 2009
- 5,471
- 734
- Thread starter
- #21
Game imeishaanza mbele wako Samata na Ulimwengu wakisaidiwa na Henry na Ngassa na Nizar ushindi upo japo mapema sana
Dakika ya 30 Tanzania tunacheza kwa kujiamini sana tumekosa magoli 2 ya wazi, hawa jamaa weupe kwa kweli
14:25 | November 15 | ||
| Burundi | 1 - 1 | Lesotho |
Madagascar | 0 - 0 | Equatorial Guinea | |
Tanzania | 0 - 0 | Chad | |
Kenya | 1 - 0 | Seychelles | |
14:30 | Rwanda | ? - ? | Eritrea |
Huyu kocha akipigwa leo anafungashiwa vilago kwa nini hajawapanga wachezaji wa Yanga??
Any updates?
Bado ni bilabila.