Leo natubu: My Confession Ndugu Zangu

Leo natubu: My Confession Ndugu Zangu

My long time gf yule niliyekwambiaga namchukuliaga kama mke wangu.
Kwa mfano unaoa,kumbe hujui kuwa mkeo alishatoa mimba kadhaa..
Sasa hapo unakuwa umeoa mama mfiwa,ambaye angekuwa single maza ila akapata akili ya haraka haraka ya kutoa?
 
Kwa mfano unaoa,kumbe hujui kuwa mkeo alishatoa mimba kadhaa..
Sasa hapo unakuwa umeoa mama mfiwa,ambaye angekuwa single maza ila akapata akili ya haraka haraka ya kutoa?
Dada Phoenix, mwanamke yeyote ambaye hukumkuta bikra jua kuna mengi ameshafanya. Tunafumba macho tu na kuomba Rehema za Mungh. Ukweli wanaojua wenyewe wanawake.
 
Dada Phoenix, mwanamke yeyote ambaye hukumkuta bikra jua kuna mengi ameshafanya. Tunafumba macho tu na kuomba Rehema za Mungh. Ukweli wanaojua wenyewe wanawake.
Rehema za Mungu tu ndo Jawabu.
Ila wanadamu wamekuwa wepesi sana kujivika uhakimu.
 
Rehema za Mungu tu ndo Jawabu.
Ila wanadamu wamekuwa wepesi sana kujivika uhakimu.
Hata wewe usinihukumu. Chukulia nimebalehe nikiwa 16 mpaka leo niko 30s nimepitia mangapi?

Tusinyoosheane vidole.
 
At the end hawa ndio wadada wakifika 28-30yrs tunaoa, kumbe vijana mmeshawaharibu hadi kuwatoa mimba kadhaa.

Inasikitisha sana lakini wengi tumepita huko na kufanya hayo.
Alafu mnakuwaga wa kwanza kuwananga single maza na kuwatusi.
La muhimu kila mtu aolewe na alozaa naye hata kama kwa mtutu kupunguza matusi.
 
Hata wewe usinihukumu. Chukulia nimebalehe nikiwa 16 mpaka leo niko 30s nimepitia mangapi?

Tusinyoosheane vidole.
Acha kuwananga single mazas,
Wanaume nyie ndo kiwanda cha maovu duniani.
Wanawake wanacopy tu.
 
Alafu mnakuwaga wa kwanza kuwananga single maza na kuwatusi.
La muhimu kila mtu aolewe na alozaa naye hata kama kwa mtutu kupunguza matusi.
Hehhe! Kuna wanawake mtu anajuta kwanini alizaa naye. Msitupangie[emoji3]
 
Hata wewe usinihukumu. Chukulia nimebalehe nikiwa 16 mpaka leo niko 30s nimepitia mangapi?

Tusinyoosheane vidole.
Kwani wote wenye miaka 30 sasa hivi wamepitia hayo uliyopitia wewe? Hii inaonyesha mambo uliyofanya uliyafanya kwa makusudi tu ungeweza kuyaepuka
 
Hata wewe usinihukumu. Chukulia nimebalehe nikiwa 16 mpaka leo niko 30s nimepitia mangapi?

Tusinyoosheane vidole.
Mengi sanaa,
Ndo maana huwa nashangaa binadamu mwingine anapomnyonga kifikra binadamu mwingine simply kwa kufanya dhambi tofauti na yake.
 
Acha kuwananga single mazas,
Wanaume nyie ndo kiwanda cha maovu duniani.
Wanawake wanacopy tu.
Sisi kweli ndio kiwanda lakini consumers wetu ni nyinyi. Nyie mkiacha kununua bidhaa zetu sisi tutafunga viwanda
 
Back
Top Bottom