Leo najibu pm zote

Leo najibu pm zote

Mkuu naona unatafta attention, na umeamua utuchore wanaume wa jf, huko mtaani hakuna wanaume wa kukupa attention? Wanaume wenye njaa ya k*ma ndo watajisogeza huko kwenye pm yako, wangejua kuwa hawatopata kitu bhas wasingejisumbua, binafsi sijisumbui kuku-text pm maana najua sitofaidika na chochote Miss Natafuta
Sasa mambo ya k yametoka wapi Mkuu?
 
kweli nimeamini sisi wanaume wa Jf bure kabisa atuendi PM mpk tufunguliwe uzi.
 
Mbona umeweka picha ya chura,wakati najua ww ni kimbaombao?
 
Nasikia unaundugu na wasiojulikana ni kweli?
 
Chochote utakachokiomba nakupa
Guys wahurumieni wenzenu hata muwe mnawatembelea pm siku moja moja sio mpaka wanatamani kufuatwa, hapo ukute kapita mtaani kwao hata kuambiwa dada mambo hakuna, mluzi hakuna mpaka anatamani kwenda kwa sangoma kuangalia amtengenezee dawa aonekane.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom