Mwambie jamaa atoke hapo kwake nimrudishe mke wake aking'ang'ania kukaa simrudishiMzee kwaiyo mpaka ss iv bado hajafika?
Mkuu hajarud Bado had mda huu?
Dhambi ya zinaa ni dhambi pekee inayokaa ndani ya mwili wa binadamu, yaani ni dhambi ambayo mtu akiifanya basi anafanya dhambi juu ya mwili wake mwenyewe. Dhambi zingine zote ni nje ya mwili isipokuwa zinaa peke yake. Soma, 1 Wakorintho 6:18
Sasa matokeo yake ni kwamba sababu zinaa hukaa mwilini hii hupelekea kwa wazinzi kuzaa watoto wazinzi pia.
Tena kama wewe na Mkeo nyote ni wazinzi basi hata watoto wenu pia watakuwa wazinzi.
Omba maisha marefu uje uone maisha ya watoto wako watakavyokuwa ukubwani. Zinaa ni mbaya sana ndiyo kwenye Biblia na Quran kote kuna maandiko yanasema, "ikimbieni zinaa".
Huyo akirudi usimruhusu aende kuoga mkague kwanza chiniBado mkuu hajarudi
22:35 niko na wewe kukupa kampani
Tulia dawa ikingie mkuu
Kuna muhuni kajikunja anapeleka moto hadi asubuhi.2300hrs....
Duh 😡!Kwani kuna ubaya gani? (Kwa sauti ya baba levo)
Kweli dunia wanaume wamekwisha. Huyo kwangu hana hata mjadala angekuta vitu vyake nje na nimebadilisha kitasa cha mlango. Unato...mbewa unachekelea kama zuzu vile. Wewe ni mmoja wa wanaume wapuuzi sana.
AnamindMtenda akitendewa
Andaa talaka tu hapo,Bado mkuu hajarudi