Jadda
JF-Expert Member
- May 20, 2019
- 29,306
- 83,741
Mkuu hata ukahaba ulianza toka kipindi cha Yesu na aliwasamehe unataka kusemaje labda? Kwamba kama dhambi ilianza toka kipindi cha Yesu ndiyo inakuwa siyo dhambi au?Hujasababisha chochote acha ufala wewe,mwanaume kuwa na mwanwmke zaidi ya moja ilikuwepo toka kipindi cha yesu.
Fukuza huyo Mwanamke,huna Mkwe hapo.