Leo na ombi ya mwaka Samia aondoke kwa njia yeyote

Leo na ombi ya mwaka Samia aondoke kwa njia yeyote

🤦🏾‍♂️🤦🏾‍♂️🤦🏾‍♂️Nchi haijawahi kumchoka mtu hivi
Una maanisha nini?
Mbona akina "mitutu ya bunduki" woooote hawamchoki; badala yake wamewachoka waTanzania. Huoni jambo la kushangaza sana hapo?

Napenda sana kukubaliana na wazo lako, lakini sina maelezo kwa nini hii mitutu haimchoki!

Hivi inaingiaje akilini, kwamba hii mitutu inayoelekezwa kwa "waliomchoka", hakuna hata mmoja unaoelekea kuwa upande kwa hawa wachokaji!.
Utalielezeaje hili?
 
Huku kimenuka sasa hivi maandamano ni makubwa sana tusogee tutie Nguvu
 
Back
Top Bottom