Anapiga faida vibaya sanaMkeka wako huo bila shaka siyo Kwa tabasamu hilo yaan Ticket price 500/= and winnings n tsh 168,650/= aisee. Anayebettisha anapata faida kweli?
Anapigaje sasa Kwa style hyo mtu anatumia jero tu anapata 168... AiseeAnapiga faida vibaya sana
Yani apo ajapata kitu anarudisha hela yake tu.Anapigaje sasa Kwa style hyo mtu anatumia jero tu anapata 168... Aisee
na je yule aliyegonga mlioni 29 kwa buku sijui ilikua jero ile nae utasemaje...Anapigaje sasa Kwa style hyo mtu anatumia jero tu anapata 168... Aisee
Hhaaaa kwahyo inawezekana alishachaniwa mikeka Mara nyingi ndyo kaja kushinda now.aiseeYani apo ajapata kitu anarudisha hela yake tu.
Muulize alishatmia sh ngapi?
Ila pongezi kwa mshindi mapambano yaendelee
Milioni 29 ???? Aisee watu wana bahati zao ,mi ningesafiri kidogo kurefreshna je yule aliyegonga mlioni 29 kwa buku sijui ilikua jero ile nae utasemaje...

Wanaoliwa ni wengi kuliko wanaokulaMkeka wako huo bila shaka siyo Kwa tabasamu hilo yaan Ticket price 500/= and winnings n tsh 168,650/= aisee. Anayebettisha anapata faida kweli?
superbet mkuuPremier?timu ngapi?stake ngapi?
Everton walinikosesha 2mHaya mambo haya Everton juzi wamenikosesha kitita kwa sare yao ile........sikulala kuifikiria buku yangu na uzembe wa Everton dah
Haaa shem kumbe na wew mdauHaya mambo haya Everton juzi wamenikosesha kitita kwa sare yao ile........sikulala kuifikiria buku yangu na uzembe wa Everton dah
Sanaaaaa toka juzi sina rahaHaaa shem kumbe na wew mdau
AISEE sorry mkuu hibi huku premier ukitoa pesa inachukua mda gan mpk upate maana nmetoa asubuh mpk saa hz kimya, mi mgeni premier nlijaribu tu upepo hukuWazee wa probability, mimi nimefikia hapo,nisaidieni nifanyej ili hizo 4 zilizobaki zisinikoseshe pesa.View attachment 834616View attachment 834617
Aiseeeee hapa nakufa then nafufuka hapo hapo dah mungu huyuBuku tu mtu katembea na kititaView attachment 834654