Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 72,397
- 191,510
Kula chuma hicho 🤣Habari wakuu,
Poleni na majukumu!
Leo toka asubuhi wife ameamka ameweka taarab tu tena kwa sauti kubwa!
Taarab zile za kina Mzee Yusuph na Jahazi, na nikifikiria kipindi ninachopitia naona kama napigwa mafumbo.
Ushauri nifanyeje?