Leo Mke wangu anapiga taarabu tu

Leo Mke wangu anapiga taarabu tu

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mwambie asikilize kwa sauti ya chini that's Enough

Kama anataka kuburudika Mwambie leo jumapili weka nyimbo za kumsifu bwana Yesu au Kama muiaslamu Mwambie aweke Quruan au kaswida.

Hata Kama wewe sio mtu wa Mungu hakikisha nyumbani kwako my akifika aone ishara ya wachaMungu taarab Mwambie asikilize peke yake kwenye simu yake. Inatosha.
 
Kama hauna kazi ya maana nyumbani, hebu jaribu kutoka. Mtafute rafikiyo muombe mkutane ukapotezee mda huko.
 
Babu ushauri wako ni mzuri tatizo ni dogo tuu!
Financially siko vyema!
Napambana niweke mambo sawa ye ndo ananipga vijembe.
Kwahyo ni wakati mgumu kidogo kwangu
Mtoto umri gani?kua single pappa pia si mbaya.
Fukuza huyo mpiga taarabu jipange na mwanao mnaendelea na life.
Mwaka wa 12 mi ni single father watoto washakua sana fresh tu kwanza na wao hawana kabisa mpango na mama zao.
 
Habari wakuu,
Poleni na majukumu!
Leo toka asubuhi wife ameamka ameweka taarab tu tena kwa sauti kubwa!
Taarab zile za kina Mzee Yusuph na Jahazi, na nikifikiria kipindi ninachopitia naona kama napigwa mafumbo,
Ushauri nifanyeje?
Jiandae utakua na kesi ya kujibu😁
 
Back
Top Bottom