KakaJambazi
JF-Expert Member
- Jun 5, 2009
- 18,711
- 12,067
Huyo ndo mke wa kuoa, kwani hukuwahi kuishi kinyumba na mwanume mwingine tangu akiwa chuo.
Hahahaha mijamke inayojifanya ina elimu nzito haijui kupika hataaaaUDSM!!!! Msomi wa masters
Mhhhhh haya nakutakia afya njema.UDSM!!!! Msomi wa masters
Ahahaaa anamuua taratibuHahahaha mkuu umenichekesha ....mpaka abiria wenzangu wamenishangaa.
Aise itakua amemchoka sasa anashindwa kumuambie maana hayo mafuta sio ya nchiiNa leo tena kakupikia hivyo mkuu? Pole
Mkuu umefanya vizuri aisee mimi hiko chakula nisingekula kabisa au ningemwanga mchuzi wote nikaweka maji kidogo na chumvi ndo nikalaSijamwambia kama hajui kupika ila nimemtafutia mwalimu wa mapishi kwa gia kwamba akaongeze ujuzi zaid katika mapishiView attachment 752106
Ndo bado changa hiyo subili wamalize mwaka utaona threads za kuomba ushauri humu tele teleWe Mwanaume hongera unajua ndoa
Hahaha unafanya vyema! Mlete kwangu huyo bureeee anakaa wiki tuu akirudi huko anakuungia mpaka maji ya kuogaWe acha tu ila nampenda Sana mke wangu siwezi kumuacha kisa hajui kupika
Hahaa utakuwa unatoka tanga weweHahaha unafanya vyema! Mlete kwangu huyo bureeee anakaa wiki tuu akirudi huko anakuungia mpaka maji ya kuoga
Tafuta hizo Picha kama utaziona, huyo ni my wife tena msomi wa mastersJamaa wewe yani uyo mkeo kama ni kweli anapikaga hivyo mwambie namuamkia,ila kama hizi picha unadanlodi sehemu namsalimia mpishi
HahaaNdo bado changa hiyo subili wamalize mwaka utaona threads za kuomba ushauri humu tele tele
Haina shida nitakuwa nakuja nayeNgoja nikupe namba zangu za simu ili akirudi shuleni iwe anakuja Tuition kwangu huyo mkeo, au unaonaje mkuu?
Hapana aisee hahaSiajabu ni wew umepika hivyo unasingizia mke
Kweli kabisaNguzo mojawapo ya Ndoa ni Uvuilivu umefanya jambo la muhimu kumpeleka shule ya upishi.