pet geo pet
JF-Expert Member
- Jun 30, 2018
- 461
- 644
Wakuu habarini za usiku huu!
Leo Baraza la mitian limetangaza matokeo ya kidato cha nne miongoni mwao alikuwepo binti yangu alihetimu mwaka jana..ivyo amepata matokeo yafatutayo:
26
IV
CIV - 'C' HIST - 'D' GEO - 'C' KISW - 'C' ENGL - 'D' CHEM - 'D' BIO - 'F' B/MATH
Nimejaribu kuongea na walimu wakasema mwanao amejitaidi sana kwa hayo matokeo ...ila mimi nilitaka arudie darasa tu lakin walimu wamenishauri nimpeleke chuo akasome tu..
Kwahiyo wakuu naombeni mnishauri nimpeleke chuo gani kwa hayo matokeo.
Leo Baraza la mitian limetangaza matokeo ya kidato cha nne miongoni mwao alikuwepo binti yangu alihetimu mwaka jana..ivyo amepata matokeo yafatutayo:
26
IV
CIV - 'C' HIST - 'D' GEO - 'C' KISW - 'C' ENGL - 'D' CHEM - 'D' BIO - 'F' B/MATH
Nimejaribu kuongea na walimu wakasema mwanao amejitaidi sana kwa hayo matokeo ...ila mimi nilitaka arudie darasa tu lakin walimu wamenishauri nimpeleke chuo akasome tu..
Kwahiyo wakuu naombeni mnishauri nimpeleke chuo gani kwa hayo matokeo.