mbarika
JF-Expert Member
- Apr 1, 2015
- 7,258
- 9,728
Julius magembeUkinipikia hivi sitangazi uchumba bado..
Lakini ngabu atafaidi sana leo.. Kumbe asharudi?
Julius magembeUkinipikia hivi sitangazi uchumba bado..
Lakini ngabu atafaidi sana leo.. Kumbe asharudi?
Yani...mate tuDuhhh jamani msitutamanisha mweehhh


Anzsha uzi ili nisubscribe ili mkianza mtombano nipate notificationsHatufanyi mambo hayo bado.hapa kula tu
Mtamu balaa njooHapo kwny kuku na mzuzu huo unanitoa roho mwenzio![]()
Naomba uje pm kama upo serious lkn nitangaze ndoaNioe basi Mkuu ule madikodiko
Karibu shostiDuhhh jamani msitutamanisha mweehhh
Hyo avatar ndo wewe? Mash-AllahNioe basi Mkuu ule madikodiko
Nije? Sasa si ntapunguza shea ya mchepuko jmnMtamu balaa njoo
Nioe basi Mkuu ule madikodiko
Kivipi Mkuu?Saafi Sana hio inaitwa Cost Benefit analysis, Yaani unachoma elfu hamsini ili ulipiwe kodi ya milioni mbili. I like the idea
Kivipi mkuuSaafi Sana hio inaitwa Cost Benefit analysis, Yaani unachoma elfu hamsini ili ulipiwe kodi ya milioni mbili. I like the idea
Ahahaaa atapika beki tatuTatizo mkishawekwa ndani wengine ndio wasastaafu kupika..
Ngoja nikufuate inboxKivipi mkuu
Julias anataja tu apewe nyapu bure bure hataki kuoaJulius magembe
Tena umemtaimu julias ndio katoka tu USKivipi Mkuu?


