chazi piere
Senior Member
- Jun 12, 2016
- 121
- 65
Nimepokea SMS km hii juziHABARI ZA LEO NDUGU ILE NAFASI YA KIJANA YA KUJIUNGA NA JESHI IPO TAYARI TUWASILIANE
Nimepokea SMS km hii juziHABARI ZA LEO NDUGU ILE NAFASI YA KIJANA YA KUJIUNGA NA JESHI IPO TAYARI TUWASILIANE
Leo kweli wameamua mwingine huyu......
Your mobile number has been Awarded 960,000 Euros in the 2017 Toyota Xmas Award Grants. To receive, contact Dr. Marcus via email: toyotaxmasgrants@gmail.com
nilichomjibu siri yangu.
Mm huyo kanipigia nikaamua kumpa muda afanye mistake nimkamate, nimempanikisha akajisahau akaongea sauti yake halafu ghafla nikasikia kuku wanawika nikaamua kumchana live. Nimeambulia bonge la tusi na simu ikakatwa.+255 769 815 121
Tapeli mwingine huyu
Kuna mdau aliwahi kutoa ufafanuzi kuwa ni kolabo kati ya mawakala, na matapeli. Wananunua copy za miamala au vitabu vya miamala kutoka kwa mawakala halafu wanatumia kwa ajili ya kutafuta watu wa kuwatapeli. Na0683472841 naye customers care airtel nashangaa MTU anakujua jina line umeanza line kuitumia. Sasa tujuzani hicho kitengo tuwalipoti hawa jamaa
a ha ha ha ha a ha a ha mkuu umenichekesha sana na kuna wajinga watapiga hizi nambamganga wa jadi mzee gendage nyato na bibi nyato kutoka sumbawanga. wanasaidia matatizo yafuatayo kumludisha mtu aliepotea mazingira ya kutatanisha Pete na mikufu ya bahati kuimalisha ndoa zindiko la shamba mwili na biashara matatizo ya uzazi kuludisha Mali iliyopotea au kuibiwa kupandishwa cheo kazini kutatua matatizo ya kesi zindiko la mifugo magonjwa yote sugu.mawasilisno ni 0743866257 au 0784295148
Mjinga sana huyu jamaaLeo kweli wameamua mwingine huyu......
Your mobile number has been Awarded 960,000 Euros in the 2017 Toyota Xmas Award Grants. To receive, contact Dr. Marcus via email: toyotaxmasgrants@gmail.com
nilichomjibu siri yangu.