Leo kulikuwa na mhadhara mwenge

Leo kulikuwa na mhadhara mwenge

Lukansola

JF-Expert Member
Joined
Sep 5, 2010
Posts
5,435
Reaction score
1,611
Hamjambo?
Leo nikiwa maeneo ya mwenge niliona watu kadhaa wakiwa wamekusanyika, walikuwa kwenye mhadhara, mhadhara wa kidini.

kilichonisukuma kuleta uzi huu ni jinsi ambavyo mtoa mada alivyokua akitumia kitabu na kuzungumzia dini tofauti na yake. badala ya kufundisha kuhusu dini yake.

nilishangaa sana.
 
Ngoja mods waipate habari hii, wataipiga Ban mihadhara yote!
 
acha masikhala bana, kwani mods hawapendi mihadhala?
 
mihadhara ya namna hii ilishapigwa marufuku,..

Wameiachia tena Jamani!!
 
Tujifunze yanayotokea jamhuri ya kati....viongozi wetu wasiwe watu wa kupambana na CDM tu...hiki kitu dini kipewe special atention, huko Bangui watu wanachinjina tu sasa
 
Kibongo bongo ni kawaida,
ukipita mwenge, manzese, magomeni mara
nyingi hivi vitu vinakuwepo.
 
Back
Top Bottom