Leo kila mtu ataje sababu iliyomfanya akaachana na mpenzi wake wa zamani

Mimi binafsi alinisababishia nikapata supplimentary nne semester one... coz muda mwingi akinikuta nasoma anaanzisha ma touch yasiyo na ulazima mwisho wa siku najikuta nazima laptop nafunika madesa yangu then mchezo wa kwichi kwichi unafuatia....." kwa kweli baada ya matokeo kutoka sikuamini macho yangu nilikuwa nimeingiza course nzito zote... pale pale niliamua kumwacha na kuongeza juhudi katika masomo yangu coz yeye ndio nilihisi alikuwa mchawi wangu mkubwa...
na yeye alikua na supp ngapi muda huo?
 
Aliniambia kuwa sijawahi kumkosea hata kidogona anajua kuwa nampenda sana kuliko chochote ila ameamua kuwa na mwanamke anaempenda zaidi kuliko mimi....It was very painful to me but I had to accept the fact for the sake of his happiness.
so,maisha yakawaje baada ya hiyo situation?
 
Mie sikuachwa bali niliacha maana mwenzangu alizidi uchafu. Akija kunitembelea geto langu analikuta safi na linanukia harufu nzuri nzuri tu ya kumfanya mtu mchafu ajisikie vibaya. Yeye akija wala hashangai, anapangua vitabu vyote mezani na tukila utashangaa mchuzi atauacha unakaukia mezani na sakafuni. Wakati mwingine akija na zege (chips mayai) na kuku wake wa kukaanga, utashangaa atakula na kuacha pale mezani kwa wikendi yote yuko pale nami. Nilikuja kushangaa siku moja baada ya yeye kuondoka, nilifanya usafi wa nguvu nikakuta mifupa ya kuku chini ya kochi na handkerchief ya mafua ambayo ni yake pia. Ukimuona kwa macho ni kweli anavutia kinoma, wigi za kila aina anazo, na yuko smart katika kuji-keep uzuri ila uchafu tu ndiyo shida yake. Yaani yeye anajali kuonekana msafi tu na sijawahi kumuona anafua nguo hata siku moja. Yaani mpaka vitambaa vya kupangusia vumbi nilikuwa nafua mimi, yeye yuko bize kuchafua nyumba yangu bila haibu. Katika suala na kuweka papuchi clean huko ndio balaa, maana alikuwa na harufu ya fujo haswa baada ya tendo la ndoa. Samahani kama kuna anayekwazika na hili, ila nilishindwa ikabidi niongee na mdada mmoja ajifanye kuwa ndiye girl friend wangu mpya....yule mdada mchafu lipokuja nyumnai akakutana na mdada mpya wakakorofishana na akatimuliwa kisailensa mpaka leo anabaki kunitukana wakati mwenzie nina furaha ya kubaki lonely na usafi wangu.
Hiyo mbinu uliyotumia ni nzuri sana na nimeipenda.
 
Back
Top Bottom