Mkuu,Masaa machache yamebaki kuachana na huu mwaka
Hii ni siku nzuri yakujumuika na kumshukuru mungu kwa kutuvusha mwaka
Wapendwa wana JF wapi mtakuwa leo?
mkuu,
kimsingi una hoja nzuri sana...
Lakini labda niweke tofauti hoja yako...
Ungeanza kwa kusema wewe utakuwa mahali fulani..then ndo wengine wangehamasika kukwambia watakakokuwa...
Mie nimeona pub moja inafunguliwa leo huko changanikeni inaitwa "shoult" nadhani ntakuwa pale