FourTwoNet
JF-Expert Member
- Aug 4, 2022
- 1,235
- 2,497
Tunaomba huyu jamaa apewe ubunge wa viti maalum.Kuna njia zaidi ya Moja ila iliyo rahisi ni hii:-
-Kikubwa simu yako iwe Rooted
-Create Account za droid vpn hata 10 kwa maana 10x300=3000MB
-pakua device ID changer then fanya kuchange ID ya simu yako
-Login DRoidVpn na Ac nyingine
-Kila unapomaliza 300Mb zako change ID then unaingia Droid vpn na AC ingine yaani Mwendo huo huo
ukimaliza zile 10 badili server then Anza tena na ya 1 endelea kucheza na Device ID