Leo ilikuwa kipaimara cha Anne

Leo ilikuwa kipaimara cha Anne

Hivi mkuu mshana jr ni kweli kabisa unayoyasema au ni hadithi tu? Ikiwa ni kweli basi ni mbaya sana na ni aibu kubwa.

Hii si hadithi bali ni habari ya kweli kabisa na mhusika ni memba humu ndani na kwa ruhusa yake amekubali niiweke hapa bila details nyingi
 
Last edited by a moderator:
Mkiambiwa ulevi haramu, hamtaki.

1 Wakorintho 6

9 Au hamjui ya kuwa wadhalimu hawataurithi ufalme wa Mungu? Msidanganyike; waasherati hawataurithi ufalme wa Mungu, wala waabudu sanamu, wala wazinzi, wala wafiraji, wala walawiti,
10 wala wevi, wala watamanio, wala walevi, wala watukanaji, wala wanyang'anyi.

FaizaFoxy hakuna kitu kibaya maishani kama kuwa mnafique wa kiwango cha level yako.....huijui Biblia zaidi ya mistari michache unayoquote kwa manufaa yako binafsi
 
Last edited by a moderator:
Dah lakini ndio keshafanya tayari,ila nijuavyo mimi kuna uwezekano mkubwa wa kuendelea tena,vinginevyo itawabidi waache kabisa pombe.
 
Ulevi ni noma ajabu,tena una madhara makubwa kama Mzee Lutu wa Biblia kuzaa na binti zake watoto noma kama ilivyo kuzaa wana wa laana (SOMA MWANZO 19:30-38)
 
Mkiambiwa ulevi haramu, hamtaki.

1 Wakorintho 6

9 Au hamjui ya kuwa wadhalimu hawataurithi ufalme wa Mungu? Msidanganyike; waasherati hawataurithi ufalme wa Mungu, wala waabudu sanamu, wala wazinzi, wala wafiraji, wala walawiti,
10 wala wevi, wala watamanio, wala walevi, wala watukanaji, wala wanyang'anyi.


Wambie kuna watu wengine wanashabikia uzinzi na ulevi as if ni kitu cha kujifia. Someni basi hata vitabu vya Mungu mpate uelewa.
 
Ulevi ni noma ajabu,tena una madhara makubwa kama Mzee Lutu wa Biblia kuzaa na binti zake watoto noma kama ilivyo kuzaa wana wa laana (SOMA MWANZO 19:30-38)

Watoto wa Lutu walifanya kwa nia ya kuendeleza kizazi, mama alishageuka jiwe la chumvi, baba anazeeka wao ni mabinti... Walitumia hekima kubwa kufanya vile kwakuwa kwa hali ya kawaida wasingeweza hata siku moja kumvulia babayao chupi
Kuna kitu kikubwa cha kujifunza kwenye habari za Lutu kuna fumbo kubwa pale la kiimani kuhusu uumbaji
 
Kwahiyo binti yake hakujua km wameshare mzigo. Alaf Anne ni mtoto wa mke au ma mkwe mshana
 
Last edited by a moderator:
Hivi kweli mke uliyezoea kulala nae hata iwe giza huwezi kumtambua?? Af huyo mwanaume anaonekana mbakaji
 
Ni kilaaniwe kinywaji kinachomtia mtu uzezeta wa kulala unyama na mkwe wake................. FULLSTOP!!
 
Watoto wa Lutu walifanya kwa nia ya kuendeleza kizazi, mama alishageuka jiwe la chumvi, baba anazeeka wao ni mabinti... Walitumia hekima kubwa kufanya vile kwakuwa kwa hali ya kawaida wasingeweza hata siku moja kumvulia babayao chupi
Kuna kitu kikubwa cha kujifunza kwenye habari za Lutu kuna fumbo kubwa pale la kiimani kuhusu uumbaji
kweli kabisa biblia sio habari na story zakale kila mstari unamaana zaidi ya milioni trust me
K
 
FaizaFoxy hakuna kitu kibaya maishani kama kuwa mnafique wa kiwango cha level yako.....huijui Biblia zaidi ya mistari michache unayoquote kwa manufaa yako binafsi

Jikumbushe hiyo hiyo michache au huiamini? Nnakushangaa kuwa hiyo mistari huoni manufaa kwako.

Kwa kukukumbusha tu, hakuna aijuae biblia zaidi ya Muislam.
 
Jikumbushe hiyo hiyo michache au huiamini? Nnakushangaa kuwa hiyo mistari huoni manufaa kwako.

Kwa kukukumbusha tu, hakuna aijuae biblia zaidi ya Muislam.

1450118219653.jpg ..... na unafique mpumbavu wewe!!! Kama kitu hujui uliza...usilete ujuaji wa magumashi....waache Waislam na Koran yao na wakristo na Biblia yao

Ni upuuzi uliopitiliza kusema kitu kama hicho....kumbuka Biblia sio novel, lile ni neno linaloishi...ndani ya Biblia hakuna HADITHI bali kuna habari za Yesu Kristo na wengine.....naamini kwa ufinyu wako wa akili japo at least unajua nini maana ya hadithi....maana yake ni kitu cha kufikirika
 
Watoto wa Lutu walifanya kwa nia ya kuendeleza kizazi, mama alishageuka jiwe la chumvi, baba anazeeka wao ni mabinti... Walitumia hekima kubwa kufanya vile kwakuwa kwa hali ya kawaida wasingeweza hata siku moja kumvulia babayao chupi
Kuna kitu kikubwa cha kujifunza kwenye habari za Lutu kuna fumbo kubwa pale la kiimani kuhusu uumbaji

Watu badala ya kujadili mada wanajifanya wajuaji wa maandiko. Mambo hayo hufanywa hata na watu wasiowahi hata kugusa pombe. Wapo wababa wengi wamezini na binti zao na sio kwa kuwa wamelewa maisha ni mapana sana. Lakini mshana jr huyo mke kwanini alimpisha mama yake chumbani kwao me naona kama ni set up. Hebu nipe jibu...
 
Watu badala ya kujadili mada wanajifanya wajuaji wa maandiko. Mambo hayo hufanywa hata na watu wasiowahi hata kugusa pombe. Wapo wababa wengi wamezini na binti zao na sio kwa kuwa wamelewa maisha ni mapana sana. Lakini mshana jr huyo mke kwanini alimpisha mama yake chumbani kwao me naona kama ni set up. Hebu nipe jibu...

Uko sahihi pombe isichukuliwe ndio baba wa maovu yote
Jamaa alimuuliza mkewe ilikuwaje ampishe mama yake kwenye chumba chao..mke akaishia kujikanyaga
 
Ni vizuri kama Mamamkwe alielewa na kusamehe pombe ya Anne.

Mtoto huyo asije jua shaaa
 
Back
Top Bottom